Nini maana ya nyota? (ni sawa na bahati?)

Nini maana ya nyota? (ni sawa na bahati?)

nipo online

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,039
Reaction score
2,657
Kiimani ni rahisi kuelewa mtu akikuambia una Baraka, ni kwa sababu anaona mafanikio fulani yanakupata,

Lakini huku uswahilini, nimesikia kuna watu wanasema "huyu jamaa Ana nyota." wengine wakisema ni mfano wa bahati,. Sio hilo tu nimesikia pia kama hufanikwi kasafishe vyota. Au Kuna watu wameibiwa nyota zao.

Tafadhali wajuzi wa mambo ya kiroho wanifafanulie maana ya nyota kama nilivyo sikia huku mtaa. Asanteni.
 
Mambo ya nyota ni utapeli

Bahati ni pale preparation itapokutana na fursa.

Kama uongo kaa ndani tu tuone kama nyota yako itakulisha msosi.

UKITAKA KUBORESHA MAISHA
MEDITATE AND PRAY.
 
Tuwaulize pia wanajimu watakuwa na majibu sahihi maana hata mamajusi walimpata mtoto kristu kupitia nyota yake..
 
Mambo ya nyota ni utapeli

Bahati ni pale preparation itapokutana na fursa.

Kama uongo kaa ndani tu tuone kama nyota yako itakulisha msosi.

UKITAKA KUBORESHA MAISHA
MEDITATE AND PRAY.
Utasikia tunasafisha nyota, haha how yani
 
"Shida wanajua wewe ni Nani na wewe hujijui ni Nani ?.
Wanafaham na kuona kile kilichofungamana na maisha yako kabla hayajafika katika hatua ya kuonekana kwa macho ila wewe hujui lolote.
Nyota ni ulimwengu wako kiujumla" -- Katt Williams.
 
Mambo ya nyota ni utapeli

Bahati ni pale preparation itapokutana na fursa.

Kama uongo kaa ndani tu tuone kama nyota yako itakulisha msosi.

UKITAKA KUBORESHA MAISHA
MEDITATE AND PRAY.
ila mwafrika akishapata ELIMU anakuwa mtu hatari sana..
 
Kwa sisi ambao tumetembea kwa wataalam wa Tiba za Jadi tunaelewa maana ya Swala lako..

waulize wanasiasa

madalali

wafanyabiashara

Kuna Shughuli huwezi kufanya kizembe zembe lazima 'mwili' uwe vizuri.

Kuna watu wanatembea wakiwa wamekufa kabisa, yani kila anachofanya ni kama hakiendi. Milango yake ya Rizki Haisongi vile inavyopaswa

Ndugu, ukiutaka ukweli, utafute nje ya mitandao.
 
Nadhani kila MTU huwa anazaliwa na nyota ya mafanikio Ila mambo huaribika ktk ukuaji ,malezi n.k


Kubadilisha mazingira
Kubadilisha marafiki
Kubadilisha majina

Hizi zaweza kuwa njia za kumrudisha MTU katika hali yake re-born.


Nyota =kibali

Kibali ni pale utakpokuwa hautumii nguvu kubwa Ila mambo yanakunyookea tu.
 
Nadhani kila MTU huwa anazaliwa na nyota ya mafanikio Ila mambo huaribika ktk ukuaji ,malezi n.k


Kubadilisha mazingira
Kubadilisha marafiki
Kubadilisha majina

Hizi zaweza kuwa njia za kumrudisha MTU katika hali yake re-born.


Nyota =kibali

Kibali ni pale utakpokuwa hautumii nguvu kubwa Ila mambo yanakunyookea tu.
Aisee, Kuna wengine kila wakikomalia kusaka mkate wanafanikiwa
 
Kwa sisi ambao tumetembea kwa wataalam wa Tiba za Jadi tunaelewa maana ya Swala lako..

waulize wanasiasa

madalali

wafanyabiashara

Kuna Shughuli huwezi kufanya kizembe zembe lazima 'mwili' uwe vizuri.

Kuna watu wanatembea wakiwa wamekufa kabisa, yani kila anachofanya ni kama hakiendi. Milango yake ya Rizki Haisongi vile inavyopaswa

Ndugu, ukiutaka ukweli, utafute nje ya mitandao.
Kwa hiyo ndugu mwandishi unataka kusema only solution ni kwenda kwa babu kunoga?
 
Sijui nyota ni nini
Ila najua nyota yako ikiwaka siku moja tu kwenye maisha yako basi dunia nzima itakujua. (Mf Messi, Obama, Ronaldo, na wengine wengi)
Kila mtoto anazaliwa na nyota yake, lakini ili nyota ile ifikie malengo kuna jitihada binafsi za mzazi na mtoto na wanaomzunguka.
Huku Africa kuna uchawi wa kuiba, kuzika, kufifisha, kuifunika, kuichafua, na kuigawa nyota. Sijui kwingine.
Jukumu lako ni kujua nyota yako ni ipi (kila mtu ana yake ya tofauti )na ufanyeje ili ing'ae kupita za wengine.
 
U awe
Kiimani ni rahisi kuelewa mtu akikuambia una Baraka, ni kwa sababu anaona mafanikio fulani yanakupata,

Lakini huku uswahilini, nimesikia kuna watu wanasema "huyu jamaa Ana nyota." wengine wakisema ni mfano wa bahati,. Sio hilo tu nimesikia pia kama hufanikwi kasafishe vyota. Au Kuna watu wameibiwa nyota zao.

Tafadhali wajuzi wa mambo ya kiroho wanifafanulie maana ya nyota kama nilivyo sikia huku mtaa. Asanteni

Sijui nyota ni nini
Ila najua nyota yako ikiwaka siku moja tu kwenye maisha yako basi dunia nzima itakujua. (Mf Messi, Obama, Ronaldo, na wengine wengi)
Kila mtoto anazaliwa na nyota yake, lakini ili nyota ile ifikie malengo kuna jitihada binafsi za mzazi na mtoto na wanaomzunguka.
Huku Africa kuna uchawi wa kuiba, kuzika, kufifisha, kuifunika, kuichafua, na kuigawa nyota. Sijui kwingine.
Jukumu lako ni kujua nyota yako ni ipi (kila mtu ana yake ya tofauti )na ufanyeje ili ing'ae kupita za wengine.
Unaweza ukawa na bahati lakin nyota usiwe nayo
 
Wa
Kwa sisi ambao tumetembea kwa wataalam wa Tiba za Jadi tunaelewa maana ya Swala lako..

waulize wanasiasa

madalali

wafanyabiashara

Kuna Shughuli huwezi kufanya kizembe zembe lazima 'mwili' uwe vizuri.

Kuna watu wanatembea wakiwa wamekufa kabisa, yani kila anachofanya ni kama hakiendi. Milango yake ya Rizki Haisongi vile inavyopaswa

Ndugu, ukiutaka ukweli, utafute nje ya mitandao.
Wanasema ni nuksi
 
Back
Top Bottom