Nini maana ya nyota? (ni sawa na bahati?)

Nini maana ya nyota? (ni sawa na bahati?)

Mambo ya nyota ni utapeli

Bahati ni pale preparation itapokutana na fursa.

Kama uongo kaa ndani tu tuone kama nyota yako itakulisha msosi.

UKITAKA KUBORESHA MAISHA
MEDITATE AND PRAY.
meditation na nofap ndio nyota mkuu pia pray
 
Sijui nyota ni nini
Ila najua nyota yako ikiwaka siku moja tu kwenye maisha yako basi dunia nzima itakujua. (Mf Messi, Obama, Ronaldo, na wengine wengi)
Kila mtoto anazaliwa na nyota yake, lakini ili nyota ile ifikie malengo kuna jitihada binafsi za mzazi na mtoto na wanaomzunguka.
Huku Africa kuna uchawi wa kuiba, kuzika, kufifisha, kuifunika, kuichafua, na kuigawa nyota. Sijui kwingine.
Jukumu lako ni kujua nyota yako ni ipi (kila mtu ana yake ya tofauti )na ufanyeje ili ing'ae kupita za wengine.
Kila mtu akiwa anapigania kuipaisha nyota yake nani sasa anapenda awe chini
 
Hawa ni kina sheikh yahya. Wanajua mambo ya nyota nje ndani mkuu



MTU anaweza kuwa anaishi Mwanza akashindwa kutoboa Ila akihamia Dar esSalaam akatoboa na kufanikiwa.

Binafsi ili upime Nyota yako Angalia zaidi uwanja wako wa mapambano ukoje.


The power of place can make someone to shine .

So Nyota ni illusion .
 
Mambo ya nyota ni utapeli

Bahati ni pale preparation itapokutana na fursa.

Kama uongo kaa ndani tu tuone kama nyota yako itakulisha msosi.

UKITAKA KUBORESHA MAISHA
MEDITATE AND PRAY.
Mkuu, hivi kuna uhusiano gani kati ya meditation na mafanikio? Mafanikio yoyote si mpaka hela tu.
 
Nyota yaweza tafsiriwa kama karama .... Kila binadamu na karama yake.
Huwezi safiria karama ya mwenzioo bali yaweza kukutoa

Ila lile Kofi unalopigwa kwenye paji la uso na kuona Giza pamoja na vinyota nyota ni balaaa
 
MTU anaweza kuwa anaishi Mwanza akashindwa kutoboa Ila akihamia Dar esSalaam akatoboa na kufanikiwa.

Binafsi ili upime Nyota yako Angalia zaidi uwanja wako wa mapambano ukoje.


The power of place can make someone to shine .

So Nyota ni illusion .

Yawezekana mkuu ndio maana wenyewe wanasema nyota sio final, sometimes inaweza athiriwa na eneo au mahusiano. Sina ujuzi wa hili zaidi ya kusikia juu juu, labda akija mwenye ujuzi atasema
 
Back
Top Bottom