Limetokana nna neno N,TANGA ikimaanisha SHAMBATanga ni kibondei
Maana yake ni shamba
usisahau kunitagNgoja nianzishe uzi unaohusu mkoa wa tanga
Ooh, asante kunijuvya. Kumbe wanyantuzu ni wasukuma.Mnyantunzu ni msukuma,
Kwenye swali la msingi Tanga maana yake ni waja leo waondoka kesho
Asante kwa kunijuvya.Tanga ni kibondei
Maana yake ni shamba
Asante chief... Ila bullshark sitangitangi bhana.... Nipo JF tu..Tanga inaweza maanisha lile shuka wanaloweka kwenye jahazi.
Tanga pia inamaanisha kuzurura au kutembea sana au kutotulia sehemu moja, mfano mtu anaweza akasema bulshark kwa kutanga tanga tu hajambo, leo yupo jukwaa la michezo, kesho yupo jukwaa la siasa etc.
Tanga pia humaanisha nguo za ndani za kike, zina vikamba kama bikini lakini sio exactly bikini kwani nyuma zinakuwa pana kidogo.
Tanga pia humaanisha kundi la nyota.
source ya vingi wikipedia
Tanga - Wikipedia, kamusi elezo huru
Andhisha bathi udhi wa tanga..Ngoja nianzishe uzi unaohusu mkoa wa tanga
Love ilipozaliwaWiki ya Tanga JF
Heeeh.maana yake ni "uvivu na uchawi uliokithiri" kama unabisha nenda tanga ukashuhudie mwenyewe
trust me, hamna chaziadaHeeeh.
..... Kweli eeh? [emoji15] [emoji15] [emoji122]
Siku nyingine huo mkato uweke kwa juu! (N'TANGA sio N, TANGA).Limetokana nna neno N,TANGA ikimaanisha SHAMBA
Naandika kwa kutumia laptop coz sijazoea sana mbona povuSiku nyingine huo mkato uweke kwa juu! (N'TANGA sio N, TANGA).
Naandika kwa kutumia laptop coz sijazoea sana mbona povuSiku nyingine huo mkato uweke kwa juu! (N'TANGA sio N, TANGA).
nadhani maana hii umeitoa mfukoni mwakomaana yake ni "uvivu na uchawi uliokithiri" kama unabisha nenda tanga ukashuhudie mwenyewe