Nini maana ya uchumi wa bluu?

Nini maana ya uchumi wa bluu?

Unajua ubinafsi ni kitu kibaya sana na kikishakukaa basi tena. Wazee wetu walivyosema kuwa UMOJA ni Nguvu hawakukosea. Nakumbuka mwalimu wangu wa chuo wakati anatufundisha forms of business alinambia kuna tofauti kubwa kati ya Sole Proprietorship na Company au Patnership. Faida mojawapo ya company capitol wanayochanga inawatoa kuwa large scale business wakati mmoja mmoja anafanya proprietorship anakuwa small scale. Marekani kuungana kwao kumekuwa na faida kubwa sana hususani za kiuchumi. .

Kwa upande wa Zanzibar nadhani wanataka kuachana bila kutumia busara, kwa nin nasem hivi, naona Zanzibar wana manufaa makubwa tena kushinda sie tulivyo na manufaa nao; ardhi yao ndogo na wanahitaji ulinzi, umeme nk kutoka bara. Zanzibar ni sehemu ndogo sana ni mkoa kabisa, ila haiwezi kuwa yenyewe ikatoboa inavyofikiria, kwa kuzalisha karafuu au? Ukiangalia wanasema tuko nao kwa sababu za kiusalama, yani Zanzibar ndo itulinde sie au? Ila hata ikitoka bado itahitaji kuwa chini ya mtu mwingine tu kama sio mwarabu sijui. .
Naona uhusiano na nchi za kiarabu umeimarishwa zaidi,mwarabu atanufaika Sana na huu uhusiano
 
Back
Top Bottom