Nini maana ya uzi wa Makapuku Forum na huu wa Kupeana Likes

mitale na midimu

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2015
Posts
10,420
Reaction score
17,735
LIKE ni nini hata itengenezewe uzi?
chanzo cha makapuku nacho kilikuwa ni malalamiko ya mtu kuibiwa likes sijui like zake zinapungua.

kuna uhusiano wowote wa nyumbaji kwa watu wanaofikiri kwa kina ( home of great thinkers) na mavuguvugu haya.

kwa nini uvumbuzi huu unashamiri leo na sio kipindi kile like zikiwa ni automatic na unpredictable.

nawaza kidogo tu pembeni ya kasha, kama mwana wa adamu nitakubali kupokea mishale yote ya mashambulizi kwa wasiopendeza na kuhoji huku.

unadhani nini maana ya hizi thread mbili.
binafsi naona ni ishara ya jamii kupenda sifa wasizostahili au zisizo na sababu.
 
Usicomplicate mambo mkuu after all kule ni CHITCHAT na mambo ya chitchat ndio kama hayo.. STRESS FREE ZONE

Mbona mnakandia nyuzi za watu ambao wamebuni kitu chao ambacho hakivunji sheria za JF...Kimsingi hizo nyuzi zingekuwa zinavunja sheria za JF usingeziona hadi leo kwa hiyo take it easy!!


cc: Jembekillo Kichwa Kichafu Bitoz Transcend SHIMBA YA BUYENZE shedede Jimena
 
Karibu na wewe upate likes mbili tatu [emoji3] [emoji3] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]

Kama wewe unapenda siasa sio wote...
"Never take life so seriously you will never get out of it alive" [emoji4] [emoji4] [emoji4]
hahahaa huwa nasoma lkn sielewi jamaa wwnaongea nini kule...
shida sio like mkuu, hebu tupia kabisa like hapo kuonyesha umeelewa.

Sioni uhusiano wa nilichoandika na kuchukulia maisha siriasi.
huo msemo ni kichaka cha kizembe sana maana hata kuwa mtandaoni tu ni kutochukulia maisha siriasi, hata kupinga kitendo cha watu karibu 1K Huku ujui wakija utawajibu vipi ni kutochukulia maisha siriasi.
cc
jose.... na wadau hapo juu
 
hawa watu mkuu wanataka umaarufu kupitia nyuzi hizi mbili makapuku na likes. dawa yao ni kuwanyamazia kimya tu.
 
IF YOU CANT BEAT THEM, JUST JOIN THEM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…