kata shime
Senior Member
- Sep 25, 2017
- 171
- 381
Mkuu mbona umemsahau kata shimeUsicomplicate mambo mkuu after all kule ni CHITCHAT na mambo ya chitchat ndio kama hayo.. STRESS FREE ZONE
Mbona mnakandia nyuzi za watu ambao wamebuni kitu chao ambacho hakivunji sheria za JF...Kimsingi hizo nyuzi zingekuwa zinavunja sheria za JF usingeziona hadi leo kwa hiyo take it easy!!
cc: Jembekillo Kichwa Kichafu Bitoz Transcend SHIMBA YA BUYENZE shedede Jimena
Utakutana na maneno mapya mapya yakufurahisha
Natafuta kiki namm niwe star