kata shime
Senior Member
- Sep 25, 2017
- 171
- 381
Mkuu mbona umemsahau kata shimeUsicomplicate mambo mkuu after all kule ni CHITCHAT na mambo ya chitchat ndio kama hayo.. STRESS FREE ZONE
Mbona mnakandia nyuzi za watu ambao wamebuni kitu chao ambacho hakivunji sheria za JF...Kimsingi hizo nyuzi zingekuwa zinavunja sheria za JF usingeziona hadi leo kwa hiyo take it easy!!
cc: Jembekillo Kichwa Kichafu Bitoz Transcend SHIMBA YA BUYENZE shedede Jimena
Utakutana na maneno mapya mapya yakufurahisha
Natafuta kiki namm niwe star
ahaha muongezeMkuu mbona umemsahau kata shime
yap yaphawana namna inabidi tu wafanye hivyo
huu nao ni wivu vilevileNi uzi ambazo zinatumia upumbavu wetu kumtengenezea pesa mmiliki wa JF.
kula like mkuu umeongea ukweli,wao wanataka mpaka umponde lowassa au magufuli ndo upate like.
Kuna wakati unapo tafuta kitu pamabana mwenyewe kwaaana walio huko makapuku au kupata like hujawaunganisha wewe humu jf ila walijiunga kwa utashi waohawa watu mkuu wanataka umaarufu kupitia nyuzi hizi mbili makapuku na likes. dawa yao ni kuwanyamazia kimya tu.
Na humu kuna watu jukwaa lao ni siasa sasa hatuwezi kuwa wote wanasisakula like mkuu umeongea ukweli,wao wanataka mpaka umponde lowassa au magufuli ndo upate like.
si ndo hapo mkuu,kula like kwanzaNa humu kuna watu jukwaa lao ni siasa sasa hatuwezi kuwa wote wanasisa
si ndo hapo mkuu nashangaa kwa nini wanachukia utadhani tunawapora likes zaoHii point sio ya Dunia hii.
Hahahaahahahahahaaaa.
Unachokisema ni kweli kabisa mkuu.
Mimi huwa natembelea jukwaa la Siasa na kuchangia mada pia, kule tunajuana makada kama kawaida, unaweza kukuta post ya kada fulani ambae mnapishana mnachokiamini haina like hata moja lakini wanaishabulia kwa ku quote tu.
Sasa kama sisi tumebuni njia mbadala ya kupeana like kiroho safi tu bila ubaguzi wowote lakini watu wanaona wivu.
Hawa watu ni wa kuwapuuza tu.
Naona mleta Uzi ka escape[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]LIKE ni nini hata itengenezewe uzi?
chanzo cha makapuku nacho kilikuwa ni malalamiko ya mtu kuibiwa likes sijui like zake zinapungua.
kuna uhusiano wowote wa nyumbaji kwa watu wanaofikiri kwa kina ( home of great thinkers) na mavuguvugu haya.
kwa nini uvumbuzi huu unashamiri leo na sio kipindi kile like zikiwa ni automatic na unpredictable.
nawaza kidogo tu pembeni ya kasha, kama mwana wa adamu nitakubali kupokea mishale yote ya mashambulizi kwa wasiopendeza na kuhoji huku.
unadhani nini maana ya hizi thread mbili.
binafsi naona ni ishara ya jamii kupenda sifa wasizostahili au zisizo na sababu.
hahaha sijaescape niko naangalia tu comment maana nimeshamaliza nilichokusudia.Naona mleta Uzi ka escape[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji109] [emoji109] [emoji109]hahaha sijaescape niko naangalia tu comment maana nimeshamaliza nilichokusudia.