Nini Madhara ya Kiafya kwa Mwanamke Kutooga na Kupiga Mswaki kwa Siku 2-3?

Nini Madhara ya Kiafya kwa Mwanamke Kutooga na Kupiga Mswaki kwa Siku 2-3?

Dont Gv Up,ni Mawazo Pia
,kitaalam Mwanamke Anashauriwa Aoge Mara2~3 Kwa Siku,hivy Asipofanya Hivyo kwanza mwili utatoa harufu kutokana na jasho ambalo hutoka nje km takamwili,pia harufu huweza kuongezeka endapo hatooga damu ya hedhi ambyo inasemekana kuwa na harufu mby sana

pili,magonjw ya ngoz mf muwasho pia huweza kumpata kutokan na vitund vya ngoz kujaa taka zitokanaz na jasho pmj na taka nyngne

tatu,hata ile haiba yake kwa mumewe na wanajamii hupotea,anaweza aidha akajikuta anatengwa na wenzake
nb:
personal hygiene is crucial,, n mawaz2
Kuhuxu Kutopga Mswaki,anaeza Akaoza Meno
 
kwani hasara za uchafu huzijui mkuu?
tema mwanamke bora hata mwanaume.
kama hakuna maji poa ila kama yapo aisee aoge hata mara 3 kwa siku, maama kuna wengine kila siku wanaoga lakini ukiwa naye karibu ni hatari huwa tunavumulia tu kulindiana heshima.
mswaki muhimu pia kwani kutokufanya hivyo ni kuruhusu bakteria kuzidi kuzaliana kinywani, pia harufu mbaya.
sifa ya mwanamke usafi. . . mengine hayo tuachiwe wenyewe
 
ushawahi kuskia harufu ya Beberu mixa Mbuzi aliyeoza? au harufu ya skunk?

ndo mfanowe so take care kuwa msafi deile
 
Back
Top Bottom