H1N1
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 4,217
- 1,579
maji.yanayonyweka yana sifa ya kuwa.maji ya kujenga afya ya mwili ? labda kama kwenu mnapata maji ya "ndanda " kwa kuwa.ndiyo maji.mazuri kwa.afya ya binadamu lakini kama ni haya tuyanywayo.ya uhai,maisha,sayona,kilimanjaro etc etc ni kunywa kwa.kiasi tu .