Ukirudiaa tena huachiiaaaargh ugoro sio starehe yani nilionaga madhara tu ya wale watumiaji wanachimbika kule ndani ya fizi na kusababisha saratani.
Nimesema ile sio starehe sababu nakumbuka niliweka yan dk 2 tu nikaona dunia kama imeniangukia, mvua imeninyeshea, joto la nguvu, baridi kali , mavi yanataka kutoka, yani ni majuto ya hali ya juu
Mkuu mav tena..pole[emoji13]aaaargh ugoro sio starehe yani nilionaga madhara tu ya wale watumiaji wanachimbika kule ndani ya fizi na kusababisha saratani..
Nimesema ile sio starehe sababu nakumbuka niliweka yan dk 2 tu nikaona dunia kama imeniangukia , mvua imeninyeshea , joto la nguvu, baridi kali , mavi yanataka kutoka, yani ni majuto ya hali ya juu
Hahahahahaaaargh ugoro sio starehe yani nilionaga madhara tu ya wale watumiaji wanachimbika kule ndani ya fizi na kusababisha saratani..
Nimesema ile sio starehe sababu nakumbuka niliweka yan dk 2 tu nikaona dunia kama imeniangukia , mvua imeninyeshea , joto la nguvu, baridi kali , mavi yanataka kutoka, yani ni majuto ya hali ya juu
Ukiwa form one kwenye hyoo maneno lazimaa ujiskie hivyoo ilaa kwa wazoefuu hainaa neno.aaaargh ugoro sio starehe yani nilionaga madhara tu ya wale watumiaji wanachimbika kule ndani ya fizi na kusababisha saratani.
Nimesema ile sio starehe sababu nakumbuka niliweka yan dk 2 tu nikaona dunia kama imeniangukia, mvua imeninyeshea , joto la nguvu, baridi kali , mavi yanataka kutoka, yani ni majuto ya hali ya juu.
Itakuwa ni kweli maana hata jamaa aliyenipa alisema kama tena kesho ningeweka na kesho yake tena aaargh ningekua safi tu. Ila ile hofu ya mateso yale ilinizidi bwana. Mi nimewaacha bhana muendeleee.Ukiwa form one kwenye hyoo maneno lazimaa ujiskie hivyoo ilaa kwa wazoefuu hainaa nenoo
Haaaahaaaa umetuachaa nanani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]itakuwa ni kweli maana hata jamaa aliyenipa alisema kama tena kesho ningeweka na kesho yake tena aaargh ningekua safi tuu.. Ila ile hofu ya mateso yale ilinizidi bwana. mi nimewaacha bhana muendeleee
Hahaha ww uli test kiama sio ugoroaaaargh ugoro sio starehe yani nilionaga madhara tu ya wale watumiaji wanachimbika kule ndani ya fizi na kusababisha saratani..
Nimesema ile sio starehe sababu nakumbuka niliweka yan dk 2 tu nikaona dunia kama imeniangukia , mvua imeninyeshea , joto la nguvu, baridi kali , mavi yanataka kutoka, yani ni majuto ya hali ya juu
Hiyo radha ni radar ya kukuonya kuwa unaenda kuangamia!Ushamba? Kuna radha ambayo mm napata(stimu)
Ili ufe mapema ππSijakusoma iyo mixer ebu nieleweshe ndg
Ili ufe mapema ππ
Nilikuwa mtumiaji wa kuberi zilipopigwa stop nikahamia kwenye ugoro, nakumbuka nikiwa 1st yr chuo jamaa angu wa Tanga alinifundisha kutumia ugoro. Stim lake Ni balaa, nikazoea had tukajuana watumiaji hostel mzima, mtu anakuja kukugongea mlango saa7 usiku. Tulifahamiana karibia wote.Habari zenu wakuu
Naomba kupewa madhara ya matumiZi ya ugoro.
Mimi nimtumiaji mzuri sn
A.k.a mzee wa kuseti