Nini madhara ya matumizi ya ugoro?

Kaka umenichekesha apo saa saba za usiku. Mm mwenyew kazin tunatumia tunajuana wote yan utumwa wake sio kitoto pale unapoenda kugongea unakuwa mdogooooo
 
Ulimeza mate mjombaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukome.
 
Ugoro zamani ulikuwa wa wazee saivi under 18 wanaubwia kama hawana akili vizuri.
 
stimu yake ipoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…