Nini madhara ya mirungi (gomba)

oisso

New Member
Joined
Jun 11, 2012
Posts
4
Reaction score
0
mi ni kijana mwenye umri miaka 23, je nini madhara ya kutumia gomba kwa muda mrefu? nisaidieni katika hili.
 
Unaishi R Chugga.?
Unakaa na taxima mdomoni kwa muda gani?
Unatumia Rubesa ngapi kwa siku?
nijibu hayo maswali kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…