Nini mahusiano kati ya AKILI na MOYO ktk Mapenzi?

Nini mahusiano kati ya AKILI na MOYO ktk Mapenzi?

Nawashukuru sana wadau WOTE mliochangia na kuidadavua mada hapo juu

Shukurani za kipekee ziende kwa Einstan newton aliyetoa historia ya alama ya moyo kuonyesha ishara za mapenzi au upendo,na Smigo4u kwa kutupa uhusiano uliopo kati ya akiri na moyo ktk kupenda au upendo.

Nilichojifunza kutoka kwa wanajukwaa hapo juu ni kuwa alama ya moyo ktk kuonyesha ni ya upendo ni ya kihistoria zaidi kuliko uhalisia

Pia kingine nilichojifunza ni kuwa akiri ni main control wa mambo yote ayatendayo mwanadam,na moyo huhusiswa na upendo kwa kutumia Homone ya Adrenaline pale tu akiri inapomkubari au anaposalitiwa.

Maswali hayo yote nilishajiuliza kwa mda mrefu lkn kupitia Jamii foram nimepata majibu ya maswali yangu

Sasa nimeamini
Jamii foram is the home of great think where we dare to talk open.

Karibuni wadau wote tuendelee kuchangia mada hapo juu maana elimu ni kiini cha maarifa na maarifa ni chakula cha afya ktk kuujenga ubongo.

Asante mkuu sazira kwetu
 
Last edited:
Wasanii, wahenga na wanasaikolojia wametumia nguvu nyingi sana kujaribu kuelezea love\kupenda.
Lakini ktk biology Mapenzi ni Chemicals tu.

Haponi ubongo, adrenalin gland,moyo, na damu

Chemical hizi tatu ndio ziko nyuma ya kile tunachokiita maumivu ya mapenzi.
1:adrenaline
2:epinephrine
3:norephinephrine inadeal na stress na inakusababishia udhaifu kbs na hasa magoti kukosa nguvu.
4:dopamine = inaadeal na addiction na uteja
Kama moyo wako ni mdhaifu Unaweza hadi kufikia hatua ya kufa.
HaSa kwa watu wazima ambao umri umeenda, mishipa ya damu imezibaziba na uhitaji Wa oxygen unapokuwa mkubwa .

Pia kuna sehemu tatu KTK UBONGO zinazodeal na Romantic LOVE
1:sex drive - hii unakifanya upende kuwa na Wapenzi weñgi
2:love - hii inakufanya na kukupa nguvu ya kufanya mapenzi kwa wakati.
3:attachment==hii ni sehemu ya ubongo inayokupa uwezo Wa kumvumilia mwenza.

Mapenzi pia yamethibitisha mtu kuwa na mpenzi unakUfanya kuwa energetic,focused and motivated.
Mwanaume alieyoa anadvantage ya kuongeza miaka saBa zaidi na mwanamke miaka miwili zaidi. Hii ni kwa
Mujibu Wa journal demography.
Inafaida kwa watu waliOFIKIa hatua ya kutokufanya mapenzi pia.

Maelezo mazuri haya yametolewa na Hellen Fisher, professor Wa rutgers university.
Na mWandishi Wa kitabu cha why her?why Him
 
Last edited:
Back
Top Bottom