Siku alipohojiwa alisema yeye haruhusiwi KUPIKA KABISA na walinzi wakeSamia Suluhu Hassan ni rais mtendaji na kiongozi mkuu wa serikali lakini haimuondolei kuwa mke kwa mume wake na mama kwa watoto
Majukumu ya mume kwa Samia yapo palepale na majukumu ya Samia kwa mume hayajabadilika
Urais ni Officin
Kupika ni jambo hatarishi kwa usalama wake.Siku alipohojiwa alisema yeye haruhusiwi KUPIKA KABISA na walinzi wake
Kwanini hatarishi?Kupika ni jambo hatarishi kwa usalama wake.
Huyo mume bwana Hafidh atakula vya wengine tu hadi pale urais utakapo koma
Ila tukiangalia kwa jicho la tatu, ikulu ya Tanzania kwasasa si sehemu salama sana, intelligence ya Tz imeonyesha udhaifu mkubwa sana katika sakata la kuugua kwa aliyekuwa Rais. Nina Wasiwasi ndani ya USALAMA WA TAIFA kuna mapandikizi hatari sana.Kupika ni jambo hatarishi kwa usalama wake.
Huyo mume bwana Hafidh atakula vya wengine tu hadi pale urais utakapo koma
Kwanini Makande na Dagaa ndio huwekwa kwenye fungu la vyakula duni?Majukumu ya mume ni kumtunza mke bila kujalisha ana position gani. Baba akiamua Leo mtakula makande mtakula tu, hata uwe rais lazima umtii mumeo
Wasithubutu kumruhusu apike. Akiungua na mafuta watatueleza walikuwa wapi. Mama saa hizi anawaza mambo mazito ya namna gani afanye wepesi wa maisha ya Watanzania na upendo uirudie jamii.Siku alipohojiwa alisema yeye haruhusiwi KUPIKA KABISA na walinzi wake
Hadi nimesisimka. Samahani bro, umeoa??Majukumu ya mume ni kumtunza mke bila kujalisha ana position gani. Baba akiamua Leo mtakula makande mtakula tu, hata uwe rais lazima umtii mumeo
Unvanzile segito?Ila mnawapenda hivyohivyo!Unapewa mfueni halafu unaenda kuchunga ng'ombe kwa nguvu😂😂😂😂Ana bahata mumewe sio wa kanda ile..maana wanaume wa kanda ile bwana...ukiwa na pesa mwanamke basi ukoo mzima unakujadili ...wanataka kunyenyekewa kuonekana wafalme na huku hawana hiyo "hazi"