ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Pale cha zaidi ni kulala, kula vizuri na mazoezi kidogo
Unahangaikia nini?
Unahangaikia nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani majukumu ya wake wa Rais yako vipi? Kwani kazi na majukumu ya Rais mwanamme yanatofautiana na majukumu ya Rais wa kike? Kila ambacho wake wa Rais walikuwa wanafanyiwa na kufanya ikiwa pamoja na kulindwa basi na mume wa Rais atafanyiwa na atafanya vile vile.Wakuu Kwema?
Kama mnavyofahamu kwa mara ya kwanza Tanzania tumepata Rais Mwanamke baada ya Rais aliye madarakani kufariki kwa kuumwa.
Sasa baada ya kuwa na Rais Mwanamke, nini yatakuwa majukumu ya Mumewe?
Je, naye atakuwa anaandamana na Mkewe (Rais) kila anapoenda?
Mwenye kufahamu hili msaada please.
So itakua HEAD OF HOUSE V/S HEAD OF COUNTRY including that house.Kwani majukumu ya wake wa rais yako vipi? Kwani kazi na majukumu ya rais mwanamme yanatafautiana na majukumu ya rais wa kike? Kila ambacho wake wa rais walikuwa wanafanyiwa na kufanya ikiwa pamoja na kulindwa basi na mume wa rais atafanyiwa na atafanya vile vile. Mbele ya taifa mke ndio atakuwa powerful na maamuzi ya mwisho, wakiwepo nyumbani na faragha zao huko ni hiari yao lakin mume anabaki kuwa head of the house and family.
Kuongeza mke wa pili vipMajukumu ya mume ni kumtunza mke bila kujalisha ana position gani. Baba akiamua Leo mtakula makande mtakula tu, hata uwe rais lazima umtii mumeo
[emoji16][emoji16][emoji16]huyu aliyesema eti kuuliza si ujinga namtafuta
Na hata mwenyewe huwa anasemaSamia Suluhu Hassan ni rais mtendaji na kiongozi mkuu wa serikali lakini haimuondolei kuwa mke kwa mume wake na mama kwa watoto
Majukumu ya mume kwa Samia yapo palepale na majukumu ya Samia kwa mume hayajabadilika
Urais ni Officin
Kwa kulala na mafaili maaana yake unapata muda mzuri wa kuyatafakari madokezo. Sijui wewe kiupande wako kazi yako, ila hizi kazi za kiserekali fail huwa linakua na madokezo unakua unasoma ushauri uliomo. Kurelax na fail hata mimi napenda, napata muda mzuri najiegama kitandani, naunga kahawa yangu na maziwa usiku sana muda ambao dunia kimyaa ndio naaanza kuyasoma nakuwa nimerelax.Sema ,chumba kinaweza kuwa kidogo kama Mh.Rais Samia Suluhu ataanza mambo ya kulala na Mafaili kama ilivyokuwa kwa bosi wake wa zamani
ataitwa lordNlikuwa nauliza tu hivi hapo mume wa Rais ataitwaje?
First gentlemen
First man
Au ni vipi?
Uko vizuriMajukumu ya mume ni kumtunza mke bila kujalisha ana position gani. Baba akiamua Leo mtakula makande mtakula tu, hata uwe rais lazima umtii mumeo
Hahahahahhahahahahaa....hahahahahahhaha...hahahahahhaa...bujiku mkeo atakuwa ana raha sana .maana ww muda wote uko funny ..msalimie sayakiki[emoji28]...
Bujibuji banaa... hayo uliyoyaandika, hata asiye First Gentleman anayafanya... Yeye ametaka kujua, kwenye nafasi hiyo, kuna cha pekee..!?Majukumu ya mume ni kumtunza mke bila kujalisha ana position gani. Baba akiamua Leo mtakula makande mtakula tu, hata uwe rais lazima umtii mumeo
First Gentleman anafanana na binti yake....
Rais ni mali ya Umma. Hakuna wakati anakoma kuwa Rais, huyo mme wake asubiri akimaliza urais tutamrudishia mke wake. Kama haamini siku moja huyo mzee ajaribu kumtia kofi 😁 😁 😁 ndio atajua kama huyo ni mkewe au Rais.Samia Suluhu Hassan ni rais mtendaji na kiongozi mkuu wa serikali lakini haimuondolei kuwa mke kwa mume wake na mama kwa watoto
Majukumu ya mume kwa Samia yapo palepale na majukumu ya Samia kwa mume hayajabadilika
Urais ni Officin
Tuone picha ya huyo binti yakeFirst Gentleman anafanana na binti yake....
Ubabe usio na maana tena pesa ya mke lakini anataka uwe kama panya alimwagiwa maji, ubishi hata umshauri jambo haelewi mpaka liharibike utaona meno tu[emoji16] jua kimebuma hukoAna bahata mumewe sio wa kanda ile..maana wanaume wa kanda ile bwana...ukiwa na pesa mwanamke basi ukoo mzima unakujadili ...wanataka kunyenyekewa kuonekana wafalme na huku hawana hiyo "hazi"