Mr Acky
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 234
- 313
Ahaa karibu Inbox ukipendaWangari ni ke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaa karibu Inbox ukipendaWangari ni ke
Umeweza kunifurahisha kwa kweliHata akioa wanne wote watakaa ikulu, atakae ona wivu na aondoke akapange.
hali na mali apo sijaelewaNadhani kuendelea kumpa mahitaji yake yote,ya hali na mali.Mengine state itawajibika.
KufanyejeAhaa karibu Inbox ukipenda
Hahahahhahahahaaa nakufa mm jaman kwa kuchekaHata akioa wanne wote watakaa ikulu, atakae ona wivu na aondoke akapange.
Masighara tu dada wala usitilie maanani, sorryKufanyeje
Ndiyo hawezi kukimbia vizuri [emoji23][emoji23][emoji23]Hhahhaha ulweso umenicheksha balaa eti panya alomwagiwa maji[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] wakati mshahara wake anaujua na matumizi yake kayatumia mwenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...mume wa aina hiinraha mnoo hata kama hana hela anaendelea kukuchekesha . Wengine sasa asikatize hata mbuzi wa jiranj kwa shamba lako atamaliziwa hasira yy
Kwahiyo iwe kazi ya bimkubwa kuwa karibisha wake wenza UkuluHata akioa wanne wote watakaa ikulu, atakae ona wivu na aondoke akapange.
Haaa haaa jamani umri wake huo zaidi ya 60 watoto wa nini yeye kwasasa ni wajukuu tuHivi akishika ujauzito, atajisikilizia kwanza kipindi hiko majukumu yote atafanya makamu wake au vipi???? , na mtoto akizaliwa itabidi aitwe Tanzania kwani itakuwa ndiyo kumbukumbu pekee ya kwanza kwa Tanzania kuanzishwa
Mh. ana Kama 60 years hiviHivi akishika ujauzito, atajisikilizia kwanza kipindi hiko majukumu yote atafanya makamu wake au vipi???? , na mtoto akizaliwa itabidi aitwe Tanzania kwani itakuwa ndiyo kumbukumbu pekee ya kwanza kwa Tanzania kuanzishwa
TISS ya sasa ni imara mno ndugu..... ndio maana wote tulikuwa tunafoji majibu!Ila tukiangalia kwa jicho la tatu, ikulu ya Tanzania kwasasa si sehemu salama sana, intelligence ya Tz imeonyesha udhaifu mkubwa sana katika sakata la kuugua kwa aliyekuwa Rais. Nina Wasiwasi ndani ya USALAMA WA TAIFA kuna mapandikizi hatari sana.
Mengi ya mtoa hoja hujayajibu.Nate ataenda na mke wake kila mahali? nkSamia Suluhu Hassan ni rais mtendaji na kiongozi mkuu wa serikali lakini haimuondolei kuwa mke kwa mume wake na mama kwa watoto
Majukumu ya mume kwa Samia yapo palepale na majukumu ya Samia kwa mume hayajabadilika
Urais ni Officin
Sasa Magu wangemshauri nini akawaelewa.Lile lilikuwa jiwe kweli kweli.Ila tukiangalia kwa jicho la tatu, ikulu ya Tanzania kwasasa si sehemu salama sana, intelligence ya Tz imeonyesha udhaifu mkubwa sana katika sakata la kuugua kwa aliyekuwa Rais. Nina Wasiwasi ndani ya USALAMA WA TAIFA kuna mapandikizi hatari sana.
Kweli kabisa.Nilianza kuona hilo kwenye ziara ya mwisho ya Magufuli, alikuwa anakohoa sana lakini sidhani kama walichukulia serious. Yaani mpaka Rais anazidiwa anakimbizwa hospital wao wako wapi siku zote? Daktari wake alikuwa wapi siku zote?Ila tukiangalia kwa jicho la tatu, ikulu ya Tanzania kwasasa si sehemu salama sana, intelligence ya Tz imeonyesha udhaifu mkubwa sana katika sakata la kuugua kwa aliyekuwa Rais. Nina Wasiwasi ndani ya USALAMA WA TAIFA kuna mapandikizi hatari sana.
Kwani majukumu ya first Lady unayajua mzee baba?Wakuu Kwema?
Kama mnavyofahamu kwa mara ya kwanza Tanzania tumepata Rais Mwanamke baada ya Rais aliye madarakani kufariki kwa kuumwa....
Jibu ni hilo hilo [emoji16]What if atakaeona wivu ni Mh. Rais?