wise-comedian
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 3,293
- 3,945
Ana wake wangapi!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kuwa mme wa Rais huoni kama ni bonge la ngekewa[emoji23] na utu uzima ule ni bora kutuliaHafidh atakuwa na bi mdogo bana.Sio kwa majukumu yote.
Tuone picha ya huyo binti yake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pia ulizia kama hajaolewa.
Dawati la akina baba litaanzishwsKama First lady alishughulika na haki za wanawake,
Nadhani first gentleman atapigania haki za wanaume
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hhahhaha ulweso umenicheksha balaa eti panya alomwagiwa maji🤣🤣🤣🤣Ubabe usio na maana tena pesa ya mke lakini anataka uwe kama panya alimwagiwa maji, ubishi hata umshauri jambo haelewi mpaka liharibike utaona meno tu[emoji16] jua kimebuma huko
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣...mume wa aina hiinraha mnoo hata kama hana hela anaendelea kukuchekesha . Wengine sasa asikatize hata mbuzi wa jiranj kwa shamba lako atamaliziwa hasira yyMimi ni funny kuliko huyo UjiUji, just try me na utajuta kuchelewa.
Hahahahahha...enjoy boss....huu ugonjwa bwana ugua magonjwa yote ....Pole na Corona. Ugonjwa una gubu huu, ukiusema vibaya tu, unakumaliza. Niko Melela kwa Wamasai wanapochoma mbuzi
First Dude....😀😀😀Nlikuwa nauliza tu hivi hapo mume wa Rais ataitwaje?
First gentlemen
First man
Au ni vipi?
😂😂 atakuwa ana ujasiri kweli..Mume wa raisi akiamua kuongeza mke wa pili atakaa naye Ikulu au ?
Hata akioa wanne wote watakaa ikulu, atakae ona wivu na aondoke akapange.Mume wa raisi akiamua kuongeza mke wa pili atakaa naye Ikulu au ?
Duhh kwani wewe ni mdadaa?Hadi nimesisimka...samahani bro..umeoa??
Wangari ni keDuhh kwani wewe ni mdadaa?
Kwani huwa hawalali kitanda kimoja kila siku???Mume atakapoamua kukutana na Mkewake lazima TISS wamzuie mpaka wapate Ruhusa kutoka Mh. Raisi, pia lazima Wamkague/Wamsachi mume kabla ya kukutana na Mke wake ambaye ni Raisi.
Hizi ni Protocol za Kiusalama.
😂 😂 😂 😂 😂Hata akioa wanne wote watakaa ikulu, atakae ona wivu na aondoke akapange.
huo umri mbona sio wa kupigana tena,Kwamfano mama Samia akizingua ndani kiburi kwa mumewe,Mzee Ameir anaweza mnasa vibao vichache vya kumuweka sawa mkewe kama Dini ya kiislam inavyoelekeza?