Ndombwindo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2013
- 1,387
- 2,085
Una akili nyingi wewe, first gentleman aanzishe mfuko wa kina baba waliochoka.Tangu Rais Kagame aonekane wanazindua gari akiwa na Mama kule Rwanda, Sijamuona tena Huyu Baba yetu. Labda kilichoharibu ni zile kauli alizosema Mama kuwa kazi ya Mwanaume ni kuchangia mbegu tu, mambo mengine tuwaachie wao.
Namshauri Mume wa rais nae aanzishe mfuko wa kusaidia mikopo kwa Vijana. Kama vile mke wa Rais Kikwete alivyokuwa anasaidia Wanawake.
Hiyo sauti ya kipemba kama naisikilizia vile!!Mmeanza tena
Yakheee! Sie hatupendi mazonge. Yanini kujisokota, msitushughulishe.
Muungano mwisho Chumbe!!!
Hizi ndio Thread WaTZ wanazifurahia, Maana wahenga wanasema "Wenye akili hujadili hoja, na wajinga hujadili watu"Wanajamvi Umofia kwenu.
Mume wa Rais ni public figure kama ilivyo First Lady. Mara ya mwisho kumuona First Gentleman ilikuwa wakati Rais SSH akihutubia Bunge letu (tukufu)
Je, majukumu anayokuwa nayo First Lady yanashabihiana na majukumu ya First Gentleman?
Lakini hatumuoni hata kuongozana tena na Mama yetu kwenye safari za kiserikali nje ya Tanzania.
Kulikoni First Gent haonekaniki tena?
Asa aongozane nae ili iweje?Wanajamvi Umofia kwenu.
Mume wa Rais ni public figure kama ilivyo First Lady. Mara ya mwisho kumuona First Gentleman ilikuwa wakati Rais SSH akihutubia Bunge letu (tukufu)
Je, majukumu anayokuwa nayo First Lady yanashabihiana na majukumu ya First Gentleman?
Lakini hatumuoni hata kuongozana tena na Mama yetu kwenye safari za kiserikali nje ya Tanzania.
Kulikoni First Gent haonekaniki tena?