malinzi ameingiaje huku? anahusika vipi ?Tumpe Malinzi awamu ya pili atuletee hapa hiyo system kwa haraka.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Kwani hujui Malinzi ni nani kwenye soka letu?
Kuna msisimko fulani pale nyavu zinapotingishwa huu utaratibu unauondoa.Visingizio kwa waafrika sasa ndo vinaisha
tnasingiziaga sana marefa
sasa hii teknolojia inapaswa kutufanya tuache kulia lia
Kikubwa waboreshe tu, refa asiwe uwanjani awe kati ya hao wenye video ili msisimko ubaki pale pale kama mwanzo.fifa imeanzisha rasmi matumizi ya video assistant referees kwenye michuano ya mabara
utaratibu huu umezua maoni tofauti kwa wadau
View attachment 527175
cha ajabu timu inaweza funga goli na kushangia alafu linakataliwa mnaonekana kama maboya
kuna watu wanasema sheria hii inaondoa msisimko
nini maoni yako mdau?