barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Mtazoea tu! Hata tennis na rugby walilalamika mwanzo!fifa imeanzisha rasmi matumizi ya video assistant referees kwenye michuano ya mabara
utaratibu huu umezua maoni tofauti kwa wadau
View attachment 527175
cha ajabu timu inaweza funga goli na kushangia alafu linakataliwa mnaonekana kama maboya
kuna watu wanasema sheria hii inaondoa msisimko
nini maoni yako mdau?
Good riddance!Inaboa kinoma yani ikitiwa kwenye ligi ntajipanga kuwa mfuatiliaji wa muvi za kihindi tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi mpaka leo huwa sielewi off side, hiyo sheria itolewe tu hata mtu akiamua kulala golini kwenu fresh tu
Hahahaaa!!!Mi mpaka leo huwa sielewi off side, hiyo sheria itolewe tu hata mtu akiamua kulala golini kwenu fresh tu
Tumpe Malinzi awamu ya pili atuletee hapa hiyo system kwa haraka.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
kweli kabisa waache unafki ......hii ni hatua nzuri sana kwa haki fifa safiHii nimeipenda kulikuwa na udanganyifu mwingi sana katika mabao ya kuotea. Wanaosema imepunguza msisimko ni vigeugeu maana timu yake ikifungwa goli la offside mpaka matusi ya nguoni yanamtoka lakini wakifunga la offside wanasema inaondoa msisimko.
hili nadhani bado ni pendekezo ila dah dakika 60 hapana , naona chache sana.Mmesikia FA itaanza kuchezwa dakika 60 badala ya 90?
FA wakisha pendekeza inakuwa. Hata hili LA VAR video Assistant Referees lilipendekezwa na FA na limekuwa.hili nadhani bado ni pendekezo ila dah dakika 60 hapana , naona chache sana.
Magoli ya mkono yanauma Bora teknolojia imekuja kukata mzizi wa fitinaKweli msisimko umepungua
Bila Teknolojia ya video Chile walikuwa wanapunjwa goli halalime naiona ya kiboya tu.. kma jana Chile wamefunga goli refa kakataa bdae tena kakubali inakua kma game ya yanga na mbeya city