Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo hapo ambapo Trump anaonekana na Microphone mbili waandishi wa habari hawaripoti hilo tukio?Za waandishi wa habari...huwezi kuripoti tukio clouds ukaatumia source ya efm au wasafi
Huoni kuwa hapo ni UN general assembly? Waandishi hawawezi kupeleka mic zao. Ni sawa na bungeni kwetu ambapo kuna mfumo uliotayari ambao huo ndio utafeed vyombo vingine vya habariKwa hiyo hapo ambapo Trump anaonekana na Microphone mbili waandishi wa habari hawaripoti hilo tukio?
Kuna issue ya security pia, sometimes huwezi kuruhusu kila mic iwe mbele ya Rais.Bongo movie stars huwa na.mic karibu 50 kwenye press zao.. samia mic.moja
Sasa kwenye viongozi wengine wakubwa hakuwezi kukawa na mfumo ambao unafeed vyombo vingine vya habari?Kwenye dunia ya sasa hivi ya sayansi na techlojia mfumo si kitu ambacho ni portable na kidogo tu kama simu?Huoni kuwa hapo ni UN general assembly? Waandishi hawawezi kupeleka mic zao. Ni sawa na bungeni kwetu ambapo kuna mfumo uliotayari ambao huo ndio utafeed vyombo vingine vya habari
Bora umenisaidia..maana mi ningemjibu na mateke juuHuoni kuwa hapo ni UN general assembly? Waandishi hawawezi kupeleka mic zao. Ni sawa na bungeni kwetu ambapo kuna mfumo uliotayari ambao huo ndio utafeed vyombo vingine vya habari
Hili ni swali lingine..lingekuwa na uzi wake mkuu...swali husika tushakujibSasa kwenye viongozi wengine wakubwa hakuwezi kukawa na mfumo ambao unafeed vyombo vingine vya habari?Kwenye dunia ya sasa hivi ya sayansi na techlojia mfumo si kitu ambacho ni portable na kidogo tu kama simu?