Pre GE2025 Nini mipango ya CHADEMA uchaguzi Serikali za Mitaa?

Pre GE2025 Nini mipango ya CHADEMA uchaguzi Serikali za Mitaa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mimi nawasalimu wote humu ndani Imani yangu mko salama

Nauliza tu je CHADEMA wamejipangaje kushinda uchaguzi serikali za mitaaa? Muda unayoyoma na hakuna mabadiliko kwenye daftari ya wapiga kura wanashindaje uchaguzi?

Wameandaaa mfumo Gani Kwa Kila Kijiji CHADEMA kupata kura Tanzania.

Wagombea Kwa Kila Kijiji wameandaliwa? Au uchaguzi umefika watu mnakurupuka?

Nilikuwa nawaza tu maana CHADEMA ndiyo Chama kikuu cha Upinzani Tanzania

Mikakati ya ushindi ni siri ndugu.

Kwamba CCM waipewe Kwa sababu wameiulizia humu jf?
 
Back
Top Bottom