Nini mtazamo wako juu ya EPL msimu wa 2016/2017

JOH CARLOS

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2016
Posts
579
Reaction score
269
Habari za mchana wana JF hasa wapenzi wa mpira na ligi mbali mbali duniani nini mtizamo wako juu ya ligi ya Uingereza msimu huu.

Maana naona timu zimefanya usajil mkubwa sana kwanzia makocha hadi makipa, kuna uwezekano ubora wa ligi ya Uingereza kurudi yaani kuona timu za Uingereza kufanya vizuri ligi ya mabingwa Ulaya.


Je, kuna uwezekano tukaona top 4 ya miaka ya nyuma ikirudi tena EPL.

Je, kuna uwezekana wa kuendela kuchipuka tim za kufanya maajabu ya soka pale Uingereza kama ilivyofanya Leicester City?
 
Tottenham hotspurs ndio bingwa.
 
Uwekezaji uliofanywa kwenye EPL msimu huu tutarajie msimu ujao ndo English team kufanya vena kwenye uefa
 
Manchester United ndo bingwa, hamna wa kimzuia pale hata mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…