Nini na nani yuko nyuma ya mshana jr?

Umenena vema
 
Wenye akili kubwa wanaweza kunielewa kirahisi lakini wenye akili ndogo Sana watachukua muda mwingi kuchanganua name kuelewa undani Wa thread hii.
Hehehe hilo andiko lako limekaa ki Le tamkoz....!!![emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Sasa kwanini usimpm??
 
M
m naona kama Mshana anao wateja wake wanao aamini hayo mambo yake, pili lazima ni mshirikina mkubwa sana aidha mganga or mchawi woote ni wale wale, na bahati yetu mbaya sana hii jamii yetu bado sana ina imani hizo za kimaskini/ potofu/ ufukara na watu wanapoteza rasilimali zao nyingi sana ikiwemo muda kwa upuuzi huo na hakika Mshana jr atakuwa na kipato kikubwa sn toka kwa hao wajinga ndg zetu
 
Usalama wa nchi, kitengo cha huduma za jamii

Sent from my E6553 using JamiiForums mobile app
 
Msoma nyota ila usimkaribishe kama una vijana wa kike anakuonyesha mpaka elimu zao wanapoenda kuishia usijekata tamaa kuwasomesha
 
mshana jr anafanya KAZI kubwa sana kwa kutujulisha Yale tuliyokuwa hatuyajui, katufundisha namna ya utawala Wa nguvu za Giza ma mamlaka yake unavyofanya KAZI na namna ya kuuahinda
 
Sijawahi kusikia watu wakihoji wanachoandika wikipedia lakinj kwakuwa mshana kawa mtu wa kujibu watu ili wapate kuongeza ujuzi basi watu wanahoji. Ndo maana m..mae zenu mnavaa mitepesho bila kujua maana yake.
 
Sijawahi kusikia watu wakihoji wanachoandika wikipedia lakinj kwakuwa mshana kawa mtu wa kujibu watu ili wapate kuongeza ujuzi basi watu wanahoji. Ndo maana m..mae zenu mnavaa mitepesho bila kujua maana yake.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Kumbe JF bado wapo watu wenye "kuona" mbali.!!

Mkuu hapo kwenye Red umeongea ukweli mtupu kabisa!
Watu wanapoteza rasilimali zao kwa kuhadaiwa tu mpaka karne hii..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…