Nini nisifanye nikiwa 'outing' kwa mara ya kwanza?

Nini nisifanye nikiwa 'outing' kwa mara ya kwanza?

Wapwa VIVIAN anaanza uchokozi mwambieni kabisa avae helmet.....Geoff, Nguli, Xpin, FL1, ZD,GeorgeP....mvua za nyuki zikianza asitegemee mbio. hahahahaah
 
Mnampa theories nyingi mtoa thread...muhimu kuwa na mkwanja,konom za kutosha na usinyonye maziwa mkifika sehem sehem..siku hizi wanapaka cocaine halafu wanaondoka na hilo GX-110 Lako...Lol
 
Mnampa theories nyingi mtoa thread...muhimu kuwa na mkwanja,konom za kutosha na usinyonye maziwa mkifika sehem sehem..siku hizi wanapaka cocaine halafu wanaondoka na hilo GX-110 Lako...Lol

Hii hata mimi niliisikia kule mwanza. Duh noma kweli!
 
Mnampa theories nyingi mtoa thread...muhimu kuwa na mkwanja,konom za kutosha na usinyonye maziwa mkifika sehem sehem..siku hizi wanapaka cocaine halafu wanaondoka na hilo GX-110 Lako...Lol


Thanks for the warning.
 
Wapwa VIVIAN anaanza uchokozi mwambieni kabisa avae helmet.....Geoff, Nguli, Xpin, FL1, ZD,GeorgeP....mvua za nyuki zikianza asitegemee mbio. hahahahaah

Hahaha! Wapiganaji tunaangalia mwelekeo, upepo ukichafuja, tunasubiria amri kutoka kwa kamanda then shughuli inaanza.
 
not at all!
senksi!....

Hahahaha! Mpwa ulishambulia kokoto kwa hasira. Mpaka ukamkumbuka mdudu mliyemsahau kwa kinibu! Ukipiga kokoto, taska zinakuwa kama banta!
 
hahahaha! Mpwa ulishambulia kokoto kwa hasira. Mpaka ukamkumbuka mdudu mliyemsahau kwa kinibu! Ukipiga kokoto, taska zinakuwa kama banta!
halafu umenikumbusha!ngoja ninyanyue mkonge!.........
 
mnachekesha nyie Fidel ukilewa unacheza faulo eeh binamu?

Mpwa alichukua kontakts za wahudumu watatu. Kilichotokea ngoja katibu geoff amalizie minutes ataweka hewani. Lal! Kumbe mabinti nao wanazijua!
 
mkuu, nimekupostia posti hapo, ka vp jioni ntakustua!, aweke mzigo wa maana.
POA POA MWANA!
tuko pamoja.naanzia breki-pointi kuna jamaa nampa kazi yake pale,then kwa kinibu.
X-PIN KARIBU MPWA
 
Full Option: j'ai un rêve- i have a dream!

.....MWAGA MBOGA NIMWAGE UGALI....

Nilikuwa sijaiona hii!
 
POA POA MWANA!
tuko pamoja.naanzia breki-pointi kuna jamaa nampa kazi yake pale,then kwa kinibu.
X-PIN KARIBU MPWA

Kwa hasira nami nawahi zero. Ntawapa salamu zenu wapwa.
 
Back
Top Bottom