Nini nisifanye nikiwa 'outing' kwa mara ya kwanza?

Nini nisifanye nikiwa 'outing' kwa mara ya kwanza?

wana JF, ni mambo gani ambayo sipaswi kuyafanya nikiwa 'outing' kwa mara ya kwanza na totoz??
Unatakiwa u concentrate kwake tuu,sio kuwa macho mia mia,kwamba kila anayepita umtupie jicho,pia jaribu kukubaliana na hoja zake hata kama unahisi anaenda wrong,hawa watu huwa hawapendi kuwa crashed,haswa ktk jambo wanalohisi wapo sawa!!
 
Heh.. sasa kama mie nataka hiyo ndito yake nijifanye siitaki na tayari nimeona mchangiaji akisema be yourself??

Hebu toa ushauri kidogo


hahahah MTM yaaani ndo unaongea kwa kujiamini hivo tetetetet
 
Mnampa theories nyingi mtoa thread...muhimu kuwa na mkwanja,konom za kutosha na usinyonye maziwa mkifika sehem sehem..siku hizi wanapaka cocaine halafu wanaondoka na hilo GX-110 Lako...Lol

hahahah wewe outing ya kwanza tu unaenda kunyonya nyonya
 
Nguli haya endelea nimekuona sehemu unanichokoza sema nimeshindwa ku-Quote ili niwe na ushahidi hahaa
 
mwenzio siku ya kwanza nilienda kanisani kwao (kanisa gani lile wanaonyeshaga kwa kutumia kituo kimoja kinaitwa ATN) tukasali wote nilikuwa mpole, siongei sana.
baada ya sadaka na matangazo tukatoka.tukashuka china town pale tukala msosi, wakati huo siongei sana, namsifia tu. siku hiyo hiyo jion nikala tunda la uhuru.

so inategemea ni nani na wewe unamchukuliaje!

nakumbuka kwamara ya kwanza siku hiyo nilivaa tai

hahahaha
 
Nguli haya endelea nimekuona sehemu unanichokoza sema nimeshindwa ku-Quote ili niwe na ushahidi hahaa

Ni kwa mazuri tu sisteri, unajua hii AVATAR yako inanikosesha usingizi so na imagine na wewe una jicho kama hilo, so najiuliza mume wako anakutunza vipi usianguke kwenye mikono ya wanyang'anyi?
 
Nguli haya endelea nimekuona sehemu unanichokoza sema nimeshindwa ku-Quote ili niwe na ushahidi hahaa

Byanda,

mbona mumepotezea mada hapa wote mida ya kati kuanzia saa 4 mpaka muda huu ndio naona mashambulizi mengi nikuwa internet ni yamgoa hapo job kwenu?????? naona hizi ndizo time za kutoka job huko kwenu.

Alafu FL1 kwenye mada nyingine kule hukujibu swali langu uka sepa faster why???

au Net nayo ilikuwa ya mgao kwenu??? best au??

 
Wakati wa kulipa bili usipoteze uchangamfu..jifanye ni mambo madogo kama kujuta kajutie ghetto ukiwa alone.
 
mwenzio siku ya kwanza nilienda kanisani kwao (kanisa gani lile wanaonyeshaga kwa kutumia kituo kimoja kinaitwa ATN) tukasali wote nilikuwa mpole, siongei sana.
baada ya sadaka na matangazo tukatoka.tukashuka china town pale tukala msosi, wakati huo siongei sana, namsifia tu. siku hiyo hiyo jion nikala tunda la uhuru.

so inategemea ni nani na wewe unamchukuliaje!

nakumbuka kwamara ya kwanza siku hiyo nilivaa tai

hahahaha

mkuu. umenikumbusha mbali kweli. Bado kunba ile kiti moto inachomwa, inakua kama nyama ya Mbuzi??
 
Byanda,

mbona mumepotezea mada hapa wote mida ya kati kuanzia saa 4 mpaka muda huu ndio naona mashambulizi mengi nikuwa internet ni yamgoa hapo job kwenu?????? naona hizi ndizo time za kutoka job huko kwenu.

Alafu FL1 kwenye mada nyingine kule hukujibu swali langu uka sepa faster why???

au Net nayo ilikuwa ya mgao kwenu??? best au??

hahaha nikumbushe ni wapi hapo nikakujibu mapema na iwezekanavyo wala sijakuwekea hiana jethro
 
Back
Top Bottom