Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Umepona sasa ?nilishasahau kama nimeomba msaada huku kwakuwa niliomba sehemu nyingi na nyingi kati ya hizo watu wakawa hawana msaada zaidi ya dhihaka hivyo nilikata tamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepona sasa ?nilishasahau kama nimeomba msaada huku kwakuwa niliomba sehemu nyingi na nyingi kati ya hizo watu wakawa hawana msaada zaidi ya dhihaka hivyo nilikata tamaa
ninavyojua kutetemeka mikono ni tatizo la kurithi nilivyoambiwa na shangazi yangu..bado ndugu, natafuta dawa uliyonishauri ila pharmacy nyingi wananiambia hawana hiyo dawa
Pole mkuu. Ila hats hata mimi nilipokua kua niligundua ninatatizo Kama hilo lkn huzidi ninapokua mazingira ya joto kali.Natambua na naheshmu great thnkers mliopo humu na ndio sababu nikapenda kuulza. Tatzo langu hli halijaanza leo wala jana, ni tangu utotoni, ilifka mahali nikaona ni kawaida ila baadae jamaa zangu walinambia ni ugonjwa na unatbika. Wengne wananipa moyo kwamba ni kawaida. Kinachonisumbua ni pale ninapokosa hata uhuru wa kushka ktu mbele za watu nikihofia kuchekwa. Tatzo lmekuwa kubwa hadi kuandka saa zingne nashndwa kuishka kalam na kuishia kuandka neno nisivyokusudia. Ndugu zangu najua wapo wanaopenda mzaha na hawakataliwi kwenye jamii, ila mimi hapa sijaomba mzaha ila msaada. Nitafurahia michango yenu nyote. Asanteni