Nini sababu ufaulu mdogo somo la physics

Nini sababu ufaulu mdogo somo la physics

mozeh

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2022
Posts
493
Reaction score
961
Habari wana Jf, kama kichwa cha habari kinavosema, matokeo ya kidato cha nne yametangazwa leo hii.. pongezi kwa necta kwa kuondoa rank uchwara na pia kwa kujitahd kurudisha hadhi ya baraza baada ya uchafu wa 2015 mpaka 2021

Turud kwenye mada ufaulu wa somo la physics unasikitisha sana inafikia hatua mwanafunzi ana one ya 7 ila physics D.

Nini sababu wakuu
 
Physics inahitaji utumie ubongo haswa na ufanye mazoezi haswa.
Haina kukalili kama masomo mengine.
 
Habari wana Jf, kama kichwa cha habari kinavosema, matokeo ya kidato cha nne yametangazwa leo hii.. pongezi kwa necta kwa kuondoa rank uchwara na pia kwa kujitahd kurudisha hadhi ya baraza baada ya uchafu wa 2015 mpaka 2021

Turud kwenye mada ufaulu wa somo la physics unasikitisha sana inafikia hatua mwanafunzi ana one ya 7 ila physics D.

Nini sababu wakuu

Achana na physics lile somo nliinyosha
Ndo somo pekee advance nlikuwa nasoma sana lkn nafaulu kawaida tu🥹.

Aliyenifanya nione gumu zaidi ni T.O late ELIAS KIHOMBO…alitufundisha topic zote za physics Advance kwa miezi 2 tu…ebwaana nlihisi kuchanganyikiwa[emoji119]

All in all nliapa sitakuja kusoma tena physics mbeleni
Nashukuru nliishachana nalo.na maisha yanasonga
 
Somo tamu sana physics...ukielewa principles mbona unabonyeza kizenji tuu. Mie nilibahatika pata mwalimu bora wa physics alifanya kuenjoy hilo somo. Physics mchawi mwalimu tuu
 
Somo tamu sana physics...ukielewa principles mbona unabonyeza kizenji tuu. Mie nilibahatika pata mwalimu bora wa physics alifanya kuenjoy hilo somo. Physics mchawi mwalimu tuu
Umeongea ukweli mtupu, haya masomo ya sayansi yanahitaji mwalimu anaejua kweli kweli, walimu ndio chanzo cha masomo haya kuonekana magumu na watu kufeli.
 
Back
Top Bottom