demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
- Thread starter
- #21
2) Wengine huenda kama wanavyo kwenda kwa mganga wa kienyeji kutafuta suluhisho la matatizo yao (baadala ya kuiitikia TAWIRE kwa mganga wao kiitikio BWANA YESU ATUKUZWE) wakitoka hapo Imani ya kidini hakuna Wala hawajui Masiha alibatizwa wapi na nani au hata kujisomea Biblia.
Katika Ukristo suluhu ya changamoto zako huzipati pasi na kuwa na IMANI katika KRISTO Yesu.
Wanawezaje kupokea UPONYAJI pasi na Imani?