kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
Habari wana JF, hususani wana jukwaa hili,, nimekua nikipata mafundisho na ushauri mbali mbali kuhusu afya kwa ujumla! Pongezi kwenu!
Ndugu wanajukwaa, kuna tatizo limenileta hapa naombeni msaada wenu wa kitaalamu !
Ni hivi, nina rafiki yangu (ke) ambae anasumbuliwa sana na U.T.I kila akiumwa akienda hosp anapewa dawa au kuchomwa sindano baada ya muda flan (miezi miwili au mitatu) tatizo linajirudia tena, akienda kupima anakutwa nao !!!
Msaada!
1. Naomba kueleweshwa kuhusu huu ugonjwa
2. Je huu ugonjwa ni moja ya STD'S ?
3. Huu ugonjwa unasababishwa na nini haswa ?
4. Huu ugonjwa unaweza kuepukwa kwa njia zipi? (kwa mtu ambae hajaupata)
5. Nini madhara makubwa ya huu ugonjwa ?
Mwisho kabisa naomba kuelekezwa ni hospitali gani ama nimshauri nini huyu rafiki yangu ili aweze kupona tatizo linalomsumbua!!?? tatzo hili yupo nalo kama mwaka na miez kadhaa imepita !
Hajawahi kwenda kwa mganga wa kienyeji wala kutumia miti shamba !!
Ndugu wanajukwaa, kuna tatizo limenileta hapa naombeni msaada wenu wa kitaalamu !
Ni hivi, nina rafiki yangu (ke) ambae anasumbuliwa sana na U.T.I kila akiumwa akienda hosp anapewa dawa au kuchomwa sindano baada ya muda flan (miezi miwili au mitatu) tatizo linajirudia tena, akienda kupima anakutwa nao !!!
Msaada!
1. Naomba kueleweshwa kuhusu huu ugonjwa
2. Je huu ugonjwa ni moja ya STD'S ?
3. Huu ugonjwa unasababishwa na nini haswa ?
4. Huu ugonjwa unaweza kuepukwa kwa njia zipi? (kwa mtu ambae hajaupata)
5. Nini madhara makubwa ya huu ugonjwa ?
Mwisho kabisa naomba kuelekezwa ni hospitali gani ama nimshauri nini huyu rafiki yangu ili aweze kupona tatizo linalomsumbua!!?? tatzo hili yupo nalo kama mwaka na miez kadhaa imepita !
Hajawahi kwenda kwa mganga wa kienyeji wala kutumia miti shamba !!