Nini sababu ya kujirudia rudia kwa U.T.I.?

Mara nyingi hiyo sio UTI inayosababishwa na bacteria. Hizo ni fangasi, meza vidongo vya fluconazole siku 14, na kuepuka kuosha uchi kwa sabuni, epuka kutumia vidonge au cream zenye steroids, epuka "kufanya" kotekote matakoni na mbele kuepuka kuhamisha vijidudu vinavyosababisha UTI kutoka kwenye kinyesi kwenda ukeni.
 

Kuna dawa inaitwa FLUCAMOX. Hii ni kiboko ina flucloxacillin na Amoxyciline, akitumia hiyo na asipopona basi huyo ana matatizo mengine zaidi ya UTI
 
ni either bado anakua kwenye mazingira yaleyale(hasa vyoo na bafu) ambayo yana habour bacteria wasababishao tatzo,namna ya kujisafisha isiyofaa baada ya kujisaidia(ajisafishe toka mbele kwenda nyuma kwa maji mengi na safi),aepuke bubble bath,nguo za kubana hasa kyupi,sometimes inaweza kuwa bacteria wamekua sugu kwa dawa anazotumia so nakushauri uende kwenye centre kubwa kwa ajili ya culture na sensitivity
 
nashukuru sana Mkuu kwa majibu mazuri , hakika nimesaidika sana!!! je nimshauri aende hosp gani ? yan mpaka ameanza kukata tamaa

sina uhakika wa hospitali za Tanzania, hata hivyo akitibiwa awe mwangalifu sana na azingatie mambo namba nne-4
 
Bwana Kitalembwa;
Pole sana kwa yanayokukuta
Naona umepata michango mingi mizuri ila na mimi naona nijazilishie; Mwambie aongezee yafuatayo


  • Kunywa maji mengi mara kwa mara..kwani kukojoa mara kwa mara kuna zuia bacteria wabaya wasikae kwenye urinary track
  • Baada ya kujisaidia, nawa (tawadha kutoka mbele kwenda nyuma) kwa bacteria wengi wabaya wapo kwenye mfumo wa haja kubwa.
  • Kojoa kabla na baada ya tendo la ndoa (baada ya tendo ni muhimu zaidi)
  • Osha sehemu zako za siri kabla na baada ya tendo
  • Wale wanawake wanaofanywa kinyume na maumbile hasa kama anafanya pande zote bila mwanamme kuosha rungu kwa sabauni; hawezi kuepuka UTI
  • Usitumie diaphragm or spermicide kama njia ya kuzuia mimba kwani sehemu ambayo diaphragm inawekwa, inazuia mtu akikojoa mkojo usiishwe wote kwenye Kibofu
  • Choo cha kukaa cha public sio kuzuri...au kukojoa mkojo umrukie kwa joo cha public sio vizuri japo Tuna shauri akiingoa Chooni aflash kwanza kabla ya kukojoa
Naamini ukiunganisha huu ushauri wote utaweza kuepukana na hayo
Asante
 

amen Mkuu! asante Maelezo mazuri ya kina !!!!
 
napenda kutoa shukrani kwa wanajukwaa wote mliomipa ushauri na maelezo ya kina kuhusu huu ugonjwa!!! ni jambo la faraja sana kwa kweli, nitamshauri rafiki yangu kama mlivyonielekeza pia naahidi kuleta mrejesho
 
Ushauri mzuri sana,
Nyongeza MSHAURI AWE ANAKUNYWA MAJI KWA WINGI yanasaidia kusafisha bacteria waliojishikisha kwenye njia ya mkojo.
Najua wanawake wengi ni wavivu sana kunywa maji.

Pombe je haisaidii?
 

nashukuru Mkuu kwa Maelezo na ushauri mzuri
 
Wewe acha kumsingizia rafiki yako! Utakuwa mchafu wewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…