Nini sababu ya kuongezeka kwa kundi hili atheist?

Nini sababu ya kuongezeka kwa kundi hili atheist?

Kama huyo mungu mwenye maguvu ameshindwa kumuondoa duniani Shetani wakati kamuumba yeye sisi binadamu tunaweza vipi kukabuliana na Shetani ?
Mungu ni powerless na fiction za juma na uledi


Pia Tumejua wayahudi sio wakristo. Huku sisi tunaambiwa tunamuabudu Mungu wa Israel
 
Nilipoona pastor analindwa na bodyguard huku akisema sisi tutalindwa na damu ya yesu nikajua hapa hakuna ukweli. Kama damu ya yesu ingekuwepo ingemlinda pastor kwanza bila mabodyguard

Na nilipokuja kuona Israel inalindwa kwa drone nzito huku sisi tukiaminishwa tunalindwa na Mungu wa Israel nikajua dini usanii
 
Ni kweli kabisa atheism imeongezeka kwa kasi kubwa sana kulinganisha miaka 10 iliyopita. Sababu ni watu kupata access ya internet na kujifunza mambo mengi humo. Pia ni sababu ya watumishi wa Mungu kufanya dini kuonekana kama biashara za watu.
Hawa jamaa huwa wanajikuta wao ndio wanaakili sana na kujiona wao wamesoma kupita Hawa viongozi wetu wa dini
 
mkuu watu wana hali ngumu sana za maisha,mavyeti kibao kabatini.wamezunguka sana mikoa kaskazini mpaka nyanda za juu kusini kuzisaka lakini wapi bila bila,..huyu mtu anamua kushuka singida pale anakaa stendi mule anawaza hivi huyu mungu yupo kweli,..mbona mimi hanioni kabisa,..ananunua moo energy na bando la jero anashusha uzi humu kua hakuna mungu..ni maisha t yanawavuruga vijana..ila ukweli Mungu yupo na anaona kila unalopitia.
 
Katika nchi nyingi sana za Magharibi ambako Ukristo ulipoanzia, hamasa ya kushika dini imeshuka Sana miongoni mwa watu, sehemu zingine Hadi makanisa yamegeuzwa kuwa kumbi za starehe. Sababu kubwa ikiwa ni maendeleo makubwa katika sayansi na teknolojia. Sababu wanazotoa ni Kwamba:-
1. Existence of God cannot be proved scientifically.
2. They have each and every thing in their lives, so they should go to Church to pray for what??
3. Science and technology can solve all their problems.
Exactly what I tried to say, umeiweka vizuri sana
 
Miaka ya hivi karibuni kuanzia 2018 hapa jukwaani Kumekuwa na ongezeko kubwa la watu ambao hawaamini uwepo wa Mungu (atheist) hii inaashiria Nini ?

Hii hali nimeona ni tofauti na jamiiforum Ile ya 2016 kurudi nyuma

Napenda kujua elimu zao au hali zao za uchumi hawa atheist
Hao ni wakuonewa huruma kweli kweli
 
Miaka ya hivi karibuni kuanzia 2018 hapa jukwaani Kumekuwa na ongezeko kubwa la watu ambao hawaamini uwepo wa Mungu (atheist) hii inaashiria Nini ?

Hii hali nimeona ni tofauti na jamiiforum Ile ya 2016 kurudi nyuma

Napenda kujua elimu zao au hali zao za uchumi hawa atheist
WENGI wa ATHEIST ni MASHOGA!!!! wanashangaa wanapelekewa MOTO lakini MUNGU hawaangamizi kama alivoangamiza SODOMA na GOMORA!!!......so wanaona kama vile ile story sio ya kweli
 
Nilipoteza mvuto wa kuhudhuria ibada mwaka 2006 baada ya kumaliza form four na kuondoka kwa guardian wangu ambaye usipoenda kanisani ilikuwa ni ugomvi nyumbani, yani unalazimishwa kwenda ibadani bila kupenda.

Sasa baada ya kufaulu form IV na kwenda boarding school mambo mengi yakaanza kubadirika, I was more happy kujipangia what to believe hali hiyo imeendelea hadi namaliza advanced level na kwenda chuo kikuu, marriage life imekuwa kama utotoni tena mwanamke analazimisha niende kanisani 😂😂😂

This is invasion of self belief! Naamini sihitaji kwenda kanisani ili kuwa mtu mwema au kuamini kwamba Mungu yupo. Nikikaa bar wanapita ombaomba ukiwapa Hao pesa ndogo ndogo ni sadaka, challenge za kuchangia wahitaji mbalimbali kama za yule Malisa ni sadaka pia, as I've bulked up age I've come to my senses that dini ni kama any other economic franchise which diversify people's economy, people get paid to provide spiritual services! So far sio kitu kibaya
 
Nilipoteza mvuto wa kuhudhuria ibada mwaka 2006 baada ya kumaliza form four na kuondoka kwa guardian wangu ambaye usipoenda kanisani ilikuwa ni ugomvi nyumbani, yani unalazimishwa kwenda ibadani bila kupenda.

Sasa baada ya kufaulu form IV na kwenda boarding school mambo mengi yakaanza kubadirika, I was more happy kujipangia what to believe hali hiyo imeendelea hadi namaliza advanced level na kwenda chuo kikuu, marriage life imekuwa kama utotoni tena mwanamke analazimisha niende kanisani 😂😂😂

This is invasion of self belief! Naamini sihitaji kwenda kanisani ili kuwa mtu mwema au kuamini kwamba Mungu yupo. Nikikaa bar wanapita ombaomba ukiwapa Hao pesa ndogo ndogo ni sadaka, challenge za kuchangia wahitaji mbalimbali kama za yule Malisa ni sadaka pia, as I've bulked up age I've come to my senses that dini ni kama any other economic franchise which diversify people's economy, people get paid to provide spiritual services! So far sio kitu kibaya
Nimesoma post yako nakushauri anza kwenda kanisani Kuna mengi bado hauyajui
 
Nimesoma post yako nakushauri anza kwenda kanisani Kuna mengi bado hauyajui
Kama umesoma vizuri ungenishauri nirudi kanisani sio nianze maana nishakwenda na ndoa nimefunga kanisani mkuu. Until makanisa yetu yakirudi katika misingi iliyokuwepo zamani there's no turning back for me.
 
Back
Top Bottom