Nini sababu ya kutoka ukurutu juu ya mfuko wa korodani?

Neem tree

Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
60
Reaction score
25
Nina rafiki yangu wa karibu amekuja kuniuliza ni nini sababu ya kupata ukurutu kwenye mfuko wa korodani halafu zinamuwasha pindi zinapopata joto na anasema kipinidi anapooga na akizikausha kwa taulo pia zinamuuma.

Kwa ushauri wangu nimemwambia aende kituo cha afya ananiambia anaogopa kuonesha sehemu zake za siri kwa tabibu wetu wa kijiji.

Nawasilisha.
 
fungus nkuu hana hata haja ya kumuonyesha dokta watamwandikia dawa tu .. halafu mwambie asigongane kwa sasa hivi atamuambukiza demu wake.. na kama anagongana amnunulie na demu wake dawa za kumeza
 
Anaogopa kuonyesha pmb* zake ataponaje sasa? An wy atumie ant fungal ya kupaka ( clotrimazole cream)
 
Anaogopa nini? kwani yeye/wewe ni timu kibamia?
 
Pole sana, nenda hospital haraka kabla haijawa severe. Na km una dem mwambie aende na yy hospital au muende wote coz kwa mwanamke dalili huchelewa ila yawezekana na yy akawa na hilo tatzo.
 
Ni fangasi aina ya candida albicans, huo ukurutu ni mazaliana yake pamoja na ngozi ya juu iliyokufa.
Atumie Clotrimazole broad fungal cream itakuwa poa baada ya siku kadhaa, kama vile siku 14.
Mpe pole mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…