Nini sababu ya taa kuendelea kuwaka hata zikizimwa?

Nini sababu ya taa kuendelea kuwaka hata zikizimwa?

Trainee

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
2,660
Reaction score
3,501
Yaani taa zangu hata nikizima bado zinawaka kwa mbali

Huyo muingiza umeme alipokuwa anaweka umeme alisema fundi amekosea wiring ndio maana

Nimemuita huyo mpiga wiring mwenyewe anasema hakuna tatizo ni kawaida (means ameshindwa kujua tatizo)

Sisi wengine tuna tabia ya kutopenda mwanga basi naona taabu sana usiku hata usingizi wa maana sipati

Nilikuwa na utaratibu wa kunyofoa taa zote ndani muda wa kulala lakini nao una usumbufu kiaina

Nimekuja kugundua karibu mtaa mzima tuna hilo tatizo (fundi wiring ni huyohuyo) tofauti kwa wenzangu ni taa moja au mbili ila ngoma kwangu ni taa zote!

Shida kubwa ni hiyo ya mwanga nikiwa nimelala lakini pia nahofia kuwaka huko kwa mfifio isije ikawa zinaendelea kunywa umeme
 
Yaani taa zangu hata nikizima bado zinawaka kwa mbali

Huyo muingiza umeme alipokuwa anaweka umeme alisema fundi amekosea wiring ndio maana

Nimemuita huyo mpiga wiring mwenyewe anasema hakuna tatizo ni kawaida (means ameshindwa kujua tatizo)

Sisi wengine tuna tabia ya kutopenda mwanga basi naona taabu sana usiku hata usingizi wa maana sipati

Nilikuwa na utaratibu wa kunyofoa taa zote ndani muda wa kulala lakini nao una usumbufu kiaina

Nimekuja kugundua karibu mtaa mzima tuna hilo tatizo (fundi wiring ni huyohuyo) tofauti kwa wenzangu ni taa moja au mbili ila ngoma kwangu ni taa zote!

Shida kubwa ni hiyo ya mwanga nikiwa nimelala lakini pia nahofia kuwaka huko kwa mfifio isije ikawa zinaendelea kunywa umeme
Ameunganisha wire wa neutral kwenye wire wa earth,muite fundi mwingine arudishe wire hizo sehemu zao.
 
Although kuna anayesema ni neutral cable ila kuna hizi taa kama bulbs za wkt huu, zinapokaribia kuisha life spam yake pia naona hicho kitu.

Na kuna fundi huwa wanarekebisha huo ugonjwa plus kuiajust iendelee ma maisha.
 
Although kuna anayesema ni neutral cable ila kuna hizi taa kama bulbs za wkt huu, zinapokaribia kuisha life spam yake pia naona hicho kitu.

Na kuna fundi huwa wanarekebisha huo ugonjwa plus kuiajust iendelee ma maisha.
Hili tatizo hata kwangu lipo ila ni taa moja nadhani unachoongea kina ukweli
 
Although kuna anayesema ni neutral cable ila kuna hizi taa kama bulbs za wkt huu, zinapokaribia kuisha life spam yake pia naona hicho kitu.

Na kuna fundi huwa wanarekebisha huo ugonjwa plus kuiajust iendelee ma maisha.
Mambo ya mchina hayo, nafuu ni gharama. Ila tatizo la Trainee litakuwa ni huyo fundi kuwa kilaza. Inabidi aite fundi mjuzi haraka sana asiye akaungaza nyumba. Ushauri wangu ni kuwa unapokuwa unajenga angalia sana mafundi na vifaa unavyotumia. Dunia imegeuka kichwa chini, mtaani hali ngumu, kuna mafundi vilaza wengi na kuna vifaa fake vingi.
 
Hatari sana hapo ni saidia fundi kajiongeza nae kawa fun

Hili tatizo hata kwangu lipo ila ni taa moja nadhani unachoongea kina ukweli
Taa ina tabia ya ku sense umeme wa ziada ambapo hali hiyo hutokea fundi akiunganisha wire wa earth kwenye neutral yaani badala ya umeme kuvuja kupitia earth wire unajaribu kuwasha taa,pia taa inapokaribia kumalizia muda wake inaanza tabia ya kufanya kazi nje ya utaratibu ikiwemo kupunguza mwanga.

By the way naunga mkono hoja.
 
Yaani taa zangu hata nikizima bado zinawaka kwa mbali

Huyo muingiza umeme alipokuwa anaweka umeme alisema fundi amekosea wiring ndio maana

Nimemuita huyo mpiga wiring mwenyewe anasema hakuna tatizo ni kawaida (means ameshindwa kujua tatizo)

Sisi wengine tuna tabia ya kutopenda mwanga basi naona taabu sana usiku hata usingizi wa maana sipati

Nilikuwa na utaratibu wa kunyofoa taa zote ndani muda wa kulala lakini nao una usumbufu kiaina

Nimekuja kugundua karibu mtaa mzima tuna hilo tatizo (fundi wiring ni huyohuyo) tofauti kwa wenzangu ni taa moja au mbili ila ngoma kwangu ni taa zote!

Shida kubwa ni hiyo ya mwanga nikiwa nimelala lakini pia nahofia kuwaka huko kwa mfifio isije ikawa zinaendelea kunywa umeme
Kuna shida kubwa na pengine ni kwenye earth rod.. Umeme unavuja na hii ni hatari kubwa
 
Low price low quality bei ya starlet huwezi linganisha na bei ya MARK X Vivyo hivyo hata perfomance ni tofauti
Ujaelewa swali. Nimekuuliza io bei inapanda kulingana na QUALITY au QUANTITY ya taa wewe unawekamagari, magari ni bulb kwaakili yako ukinunua MoPassion ya 600 utasema bora kuliko ya 500 bila kujua hapo factor ni Quantity.
 
Back
Top Bottom