Nini sababu ya uume kusimama mara kwa mara?

Nini sababu ya uume kusimama mara kwa mara?

Kusimamisha Mara kwa Mara husababishwa na sababu nying lkn mojawapo ni ugonjwa wa kurithi uitwao Sickle cell disease....ukiwa nao huu utakuwa na tatzo LA kusimamisha hata Massa matatu na misuli itaanza kuuma...kitaalamu inaitwa "Priapism"... So u can go to hospital for treatment
 
Kusimamisha Mara kwa Mara husababishwa na sababu nying lkn mojawapo ni ugonjwa wa kurithi uitwao Sickle cell disease....ukiwa nao huu utakuwa na tatzo LA kusimamisha hata Massa matatu na misuli itaanza kuuma...kitaalamu inaitwa "Priapism"... So u can go to hospital for treatment
Thanx
 
Ilinitokea hiyo kipindi naumwa U,t,i.inachangiwa na maradhi katika sehemu nyeti.ila itaisha hiyo hali
 
Mkuu bila shaka unakula vyakula vyenye madini ya zinc hii hupelekea uzalishwaji wa hormone ye testorene kwa wingi hivo kukupa hamasa ya kushiriki tendo kila mara vyakula hivyo ni kama samaki wa aina zote pamoja na nyama nyekundu wa kifupi protein nyingi.
 
Kusimamisha Mara kwa Mara husababishwa na sababu nying lkn mojawapo ni ugonjwa wa kurithi uitwao Sickle cell disease....ukiwa nao huu utakuwa na tatzo LA kusimamisha hata Massa matatu na misuli itaanza kuuma...kitaalamu inaitwa "Priapism"... So u can go to hospital for treatment
We jamaa mkali imebidi niingie google maana wameeleza pia kwa watu waliotumia bangi na cocaine pia wanakumbwa na tatizo hili
 
Back
Top Bottom