Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
KumenogaRudini nyumbani
Cha kwanza kabisa huyo Ali alawi hajafariki ughaibuni,, kama ambavyo mnavyofikilia ninyi kila msiba anaopost msangi basi mtu kafia dizonga,, huyo Ali alawi aliondoka huku tangu mwaka 2018 mwishoni,, alikuja 2017 kifupi alikaa mwaka mmoja tu kama na nusu dizonga,, na suala la kufa hata bongo watu wanakufa sana tena ukichukulia mathalani wilaya moja tu kwa mfano,, isipokuwa haitangazwi wala kupostiwa kama wanavyopostiwa wasafiri kwenye hilo grupu,,πΉπΏπΏπ¦mzee baba πΉπΏπΏπ¦πΉπΏπΏπ¦π’π’π’π’
Ndugu zangu watanzania tumepatwa na msiba mwingine wa ndugu yetu ally alawi............πΉπΏπΏπ¦π’π’
Ally Alawi amefariki tanzania πΉπΏ......
Ally Ally ni baharia ambaye alikuwa anaishi ktk mji wa Mosselbay Afrika Kusini πΉπΏπΏπ¦π’π’π’π’
Panapo majaliwa kesho siku ya jumanne ndugu yetu Ally Alawi atazikwa katika makaburi ya kwa bint mussa kiwalaniπΉπΏπΏπ¦π’π’π’π’π’π’π’
Msiba utakuwepo Tandika Forma karibu na shule ya majaribio au sakafa......
Rest in peace baharia πΉπΏπΏπ¦π’π’π’π’
Nataka niende nchi za waislamu wenye dini ya haki kinatafute maisha. Nchi gani nzuri ya kuishi?Sitosahau nilikuwa stubbed 6 times pale capetown ICU for five days kiufupi south africa ni hell its a bullshit country. Ushauri wangu mabaharia wenzangu sanukeni njooni europe au marekani mtapata maisha msidanganyike na chupi za kikhosa na kizulu mnapoteza muda sana dizonga. Viza bongo zinatoka sana msigande.
Maisha yanapokuwa magumu huko wengi wanatumia sana unga.
Nenda afghanistan, hutojutaNataka niende nchi za waislamu wenye dini ya haki kinatafute maisha. Nchi gani nzuri ya kuishi?
Nimependa sana kuishi Tunisia maana ina waislamu 99%.