OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Moja ya ushahidi wa baadhi ya wanakijiji kutotumia akili ni suala la wao kuchagua apandie wapi gari. Sio kukusanyika kwenye kituo kimoja cha karibu.
Unakuta kituo kinafahamika lakini yeye anakaa mita 200 ya kituo anataka gari limfuate. Hata mwingine atakaa mbele kidogo ya mwenzie. Nimeshuhudia sana hili kanda ya ziwa.
Au abiria kurundikana karibu ya mlango kama vile akitaka kushuka gari haitasubiri ashuke.
Je, watu hawa hawana common sense mpaka washindwe kuona sababu ya uwepo kituo cha gari?
Unakuta kituo kinafahamika lakini yeye anakaa mita 200 ya kituo anataka gari limfuate. Hata mwingine atakaa mbele kidogo ya mwenzie. Nimeshuhudia sana hili kanda ya ziwa.
Au abiria kurundikana karibu ya mlango kama vile akitaka kushuka gari haitasubiri ashuke.
Je, watu hawa hawana common sense mpaka washindwe kuona sababu ya uwepo kituo cha gari?