OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Wenye magari huwafuata au hawawafuati? Hapo ni nani asiyetumia akili?Moja ya ushahidi wa baadhi ya wanakijiji kutotumia akili ni suala la wao kuchagua apandie wapi gari. Sio kukusanyika kwenye kituo kimoja cha karibu.
Unakuta kituo kinafahamika lakini yeye anakaa mita 200 ya kituo anataka gari limfuate. Hata mwingine atakaa mbele kidogo ya mwenzie. Nimeshuhudia sana hili kanda ya ziwa.
Au abiria kurundikana karibu ya mlango kama vile akitaka kushuka gari haitasubiri ashuke.
Je, watu hawa hawana common sense mpaka washindwe kuona sababu ya uwepo kituo cha gari?
Wewe ni utingo?Moja ya ushahidi wa baadhi ya wanakijiji kutotumia akili ni suala la wao kuchagua apandie wapi gari. Sio kukusanyika kwenye kituo kimoja cha karibu.
Unakuta kituo kinafahamika lakini yeye anakaa mita 200 ya kituo anataka gari limfuate. Hata mwingine atakaa mbele kidogo ya mwenzie. Nimeshuhudia sana hili kanda ya ziwa.
Au abiria kurundikana karibu ya mlango kama vile akitaka kushuka gari haitasubiri ashuke.
Je, watu hawa hawana common sense mpaka washindwe kuona sababu ya uwepo kituo cha gari?
NdioWe
Wewe ni utingo?
UmetishaSababu za abiria kukimbia wakati wakishuka kwenye pantoni ni zipi?
Si ungesema tu wasukuma ni washamba mzee mbona kama unazunguka sana [emoji22]Moja ya ushahidi wa baadhi ya wanakijiji kutotumia akili ni suala la wao kuchagua apandie wapi gari. Sio kukusanyika kwenye kituo kimoja cha karibu.
Unakuta kituo kinafahamika lakini yeye anakaa mita 200 ya kituo anataka gari limfuate. Hata mwingine atakaa mbele kidogo ya mwenzie. Nimeshuhudia sana hili kanda ya ziwa.
Au abiria kurundikana karibu ya mlango kama vile akitaka kushuka gari haitasubiri ashuke.
Je, watu hawa hawana common sense mpaka washindwe kuona sababu ya uwepo kituo cha gari?
Unaonekana wewe sio mkazi wa kanda ya ziwa.Moja ya ushahidi wa baadhi ya wanakijiji kutotumia akili ni suala la wao kuchagua apandie wapi gari. Sio kukusanyika kwenye kituo kimoja cha karibu.
Unakuta kituo kinafahamika lakini yeye anakaa mita 200 ya kituo anataka gari limfuate. Hata mwingine atakaa mbele kidogo ya mwenzie. Nimeshuhudia sana hili kanda ya ziwa.
Au abiria kurundikana karibu ya mlango kama vile akitaka kushuka gari haitasubiri ashuke.
Je, watu hawa hawana common sense mpaka washindwe kuona sababu ya uwepo kituo cha gari?
Tunayawahi magari ya Tuangoma na MkurangaSababu za abiria kukimbia wakati wakishuka kwenye pantoni ni zipi?
Sababu za abiria kukimbia wakati wakishuka kwenye pantoni ni zipi?