OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Shirika la nyumba za Taifa (NHC) linatarajia kujenga nyumba za bei nafuu katika eneo la Kawe Tanganyika Packers jijini Dar es salaam, lengo likiwa ni kuwa na makazi bora na nafuu yatakayoendana na ongezeko la watu nchini.
Huu ni mwendelezo kwa miradi kutajwa jina la Rais katika mikakati ya kujiimarisha zaidi. Tanzania ni moja ya nchi zenye bahati mbaya sana,zimekuwa zinachagua viongozi wanajiimarisha wao zaidi badala ya kuimarisha taasisi na mamlaka.
Huu ni mwendelezo kwa miradi kutajwa jina la Rais katika mikakati ya kujiimarisha zaidi. Tanzania ni moja ya nchi zenye bahati mbaya sana,zimekuwa zinachagua viongozi wanajiimarisha wao zaidi badala ya kuimarisha taasisi na mamlaka.