OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Sijafa moyo na hatujafa moyo,tuna imani tutaingia robo fainali,kama sio leo basi kesho.
Constantine wamewatandika TP Mazembe 3G wakiwa kwao. Nyumbani ni nyumbani tu.
Nakubali kuwa beki yetu jana ilikuwa dhaifu ila tutarekebisha na kutinga robo.
Constantine wamewatandika TP Mazembe 3G wakiwa kwao. Nyumbani ni nyumbani tu.
Nakubali kuwa beki yetu jana ilikuwa dhaifu ila tutarekebisha na kutinga robo.