ni swali zuri sana mkuu..na mimi naomba nikuulize kama wewe ni mteja wao pia kitu gani kina kuvutia uwende samakisamaki,na usiende sehemu zingine.
Wadau, mimi nashangaa sana. Mlimani city unakuta samaki samaki pamejaa kupitiliza hadi tunasimama hapa parking area, lakini spots za pembeni wahudumu hadi wanabembeleza watu kuingia lakini kutupu!! Ni nini siri ya huyu jamaa wa samaki samaki? Ni business tactic gani anaitumia kuvutia watu hivi aisee.
Kwenye nyama choma festival, banda la samak samak watu wanakanyagana miguu hakuna hata nafasi ya kupumia! Mabanda ya pembeni peupe!!??
Ni siri tuambiane na tujifunze!
Unajua sisis waTanzania tuna shida sana,tukisikia kitu kinasifiwa na mabishoo basi tunafikiri eti ndiyo kitu kizuri.Huenda kuna watu walimuona Diamond na Wema wanakula pale basi ikawa taabu.Unanikumbusha mbali sana enzi za chuo kuna saluni moja ipo maeneo ya Tambaza pale Upanga,ebwana si mama Anna Nkapa akawa anaenda kutengeneza nywele pale nakuambia ile saluni ikapata umaarufu ghafla tukawa tumeingia kwenye vita na mademu zetu nakuambia kla demu akawa anataka kusukwa Upanga
Sina uhakika sana lakini nakuamabia asilimia 85% ya watu wanaokula Samakisamaki ni mabrothermen na ma sisterdu, asilimia 10% wanaenda pale kula na kupanga mipango either ya maendeleo, ya wizi ama ya kutafuta wake za watu ni asilimia 3% ya waendaji wa Samakisamaki wanaoenda kwa ajili ya kula na kunywa tu na asilimia 2% wanaenda pale by coincidence yaani wanashangaa wapo pale wanakula na kunywa lakini ukiwauliza kwa nini wapo pale hawajui hata kidogo.Sasa sijui wewe upo upande upi katika huo mchanganuo wanguhahahaa, kwa hiyo na sisi wazee tunaangalia dayamondi anakula wapi? washabiki wa huyo dayamondi wenye umri wa kumuiga hawana hata hiyo pesa ya kula samakisamaki! siri ya urembo ni HUDUMA NZURI.
mkuu hakuna lolote bali jamaa ni mbunifu, huduma ya uhakika na kwa wakati, chakula kiwango na visichana vingi virembo alivyovivisha vivazi vya kuvutia na mpangilio bora wa ratiba za chakula, uvaaji na muziki. Kabla hajabomolewa pale mbezi beach alikuwa anauza local bia 3,500 lakini hata seat ukichelewa hupati halafu ucku anakuwashia vibatari na warembo wanapangwa kila kona kukaribisha wagen dah cjui itarudi lini tena mbezi hakika nimeimiss sana
Wadau, mimi nashangaa sana. Mlimani city unakuta samaki samaki pamejaa kupitiliza hadi tunasimama hapa parking area, lakini spots za pembeni wahudumu hadi wanabembeleza watu kuingia lakini kutupu!! Ni nini siri ya huyu jamaa wa samaki samaki? Ni business tactic gani anaitumia kuvutia watu hivi aisee.
Kwenye nyama choma festival, banda la samak samak watu wanakanyagana miguu hakuna hata nafasi ya kupumia! Mabanda ya pembeni peupe!!??
Ni siri tuambiane na tujifunze!
Sina uhakika sana lakini nakuamabia asilimia 85% ya watu wanaokula Samakisamaki ni mabrothermen na ma sisterdu, asilimia 10% wanaenda pale kula na kupanga mipango either ya maendeleo, ya wizi ama ya kutafuta wake za watu ni asilimia 3% ya waendaji wa Samakisamaki wanaoenda kwa ajili ya kula na kunywa tu na asilimia 2% wanaenda pale by coincidence yaani wanashangaa wapo pale wanakula na kunywa lakini ukiwauliza kwa nini wapo pale hawajui hata kidogo.Sasa sijui wewe upo upande upi katika huo mchanganuo wangu
nikienda na20000 c ntakula au