Zawadini
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 2,369
- 1,775
Hivi hii ndo mara ya kwanza!! Waswahili huku tunasema "wajinga ndio waliwao" na wakati mwingine huwa tunasema "usilolijua litakusumbua".Watatekanaje wakati Kwa mara ya kwanza wametoa maRais wawili mmoja wa Jamhuri na mwingine wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar?
Wanasema charity begins home