Nini siri ya watu wengi kumiliki Toyota IST?

ytyx1

Member
Joined
Jun 29, 2016
Posts
17
Reaction score
11
Katika pitapita wadau apa mjini nimeona kitu fulani cha tofauti kidogo kwa wakazi wa Dar. Yani ukikaa foleni kila baada ya gari moja au mbili inafata toyota IST.

Hivi hili ongezeko la hizi gari ni ugumu wa maisha watu hawana hela ya mafuta ya kuendesha gari nyingine?

Kwani nasikia inakunywa kama boxer..

Maoni yenu wadau
 
Wewe unaendesha gari gani
 
Nenda Japan ukaone magari wanayotumia wajapani ndiyo utajua maana ya uchumi.

Magari Mengine kwa barabara zetu na matuta kila baada ya kilometre moja hata hatuwezi kuyaendesha maana ni km 6cm kutoka ktk barabara mpaka kwenye bodi ya gari.

Huwezi kuendesha Toyota V8 na kazi yako ya mshahara wa lako 5 kwa mwezi utakuwa mgonjwa wa akili!
 
Ni kweli nchi kama, china na india wanahitaji usafiri ambao ni rahisi kuendesha kwa kipato kidogo, sasa sisi watanzania pamoja na umaskini wetu tunataka pajero, lazima ubadili jinsi ya kufikiria
 
watu wanavipenda ndio maana havishuki bei.
kila nionapo IST for sale bei yake si chini ya 8 mil.
 
Soma hapa , utagundua siri yenyewe .
Kumiliki "Used Toyota Car" ni Symbol Tosha ya Umaskini.
 
Reactions: tyc
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…