Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Fuel economy ila dashboard yake mnashea na abiria wanakusaidia kusoma spidi otherwise ni babywalker nzuri kwa mishe za mjini kama hutoki nje ya mji mara kwa mara,recommended.
San lg na kinglion[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe unaendesha gari gani
Acha uongo wako, IST upate kwa millioni 10 show room ya wapi?ni gari nzuri kwa movement za mjini na ulaji wa mafuta ni mdogo na hata size, unaweza pack popote ,spea ziko nyingi ..ni kweli IST zimekua nyingi sana na za kila rangi
bei zake haizizidi 10 m..kwenye show room with full registration
ni gari nzuri kwa movement za mjini na ulaji wa mafuta ni mdogo na hata size, unaweza pack popote ,spea ziko nyingi ..ni kweli IST zimekua nyingi sana na za kila rangi
bei zake haizizidi 10 m..kwenye show room with full registration
TOYOTA Vitanzania (VITZ) ndio gari ya taifa, inatufaa sana Watzna vitanzania je....VITZ
HATA MI NMESTUKA HAPO. SHOWROOM ZINAZOJIELEWA INAENDA 13.5 MILLION NA KUENDELEAAcha uongo wako, IST upate kwa millioni 10 show room ya wapi?
Hahaha kweli mkuuTOYOTA Vitanzania (VITZ) ndio gari ya taifa, inatufaa sana Watz
gari za walemavu hizoBila kusahau passo
siku hizi umekua kimya tumemiss ile 'be the first to comment'Hahaha kweli mkuu
fafanuaFuel economy ila dashboard yake mnashea na abiria wanakusaidia kusoma spidi otherwise ni babywalker nzuri kwa mishe za mjini kama hutoki nje ya mji mara kwa mara,recommended.