Nini status ya Baraza la Mawaziri la Magufuli sasa na baada ya Samia Suluhu Hassan kuapishwa?

kwa hiyo hii siyo awamu ya sita?
 
mawaziri lazima wale kiapo cha utii mbele. ya rais mpya hivyo lzm aunde baraza upya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…