Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Wazazi na vijana wamepoteza kabisa matumaini ya maisha, wanaishi kwa misongo ya mawazo kila siku.
Kila siku afadhali ya jana na serikali imetamka kuwa haiwezi ajiri vijana wote wanaotoka vyuoni bali wajiajiri.
Lakin haiwawezeshi njia za vijana hao kujiajiri, Bali ni matamko tu.
Kwa wenzetu nchi za Magharibi serikali inajali sana vijana wasiokuwa na Kipato yaani wale watu wa hali ya chini na wale wasiokuwa na Ajira kuna mpango maalum serikali hufanya juu yao kama vile malipo kidogo ya kujikimu kila mwezi kutoka katika serikali zao za mitaa.
Lakini Katika nchi nyingi za kiafrika na hata hapa kwetu ijapo tuna rasilimali za kutosha lakini Muundo mzima wa serikali yetu unatafunya tuishi kama tulivyo sasa,maana hata Demokrasia hakuna, na hivyo hakuna uhuru wa kujieleza na kutoa maoni.
Ni kama tupo ndani ya boksi
Kila siku afadhali ya jana na serikali imetamka kuwa haiwezi ajiri vijana wote wanaotoka vyuoni bali wajiajiri.
Lakin haiwawezeshi njia za vijana hao kujiajiri, Bali ni matamko tu.
Kwa wenzetu nchi za Magharibi serikali inajali sana vijana wasiokuwa na Kipato yaani wale watu wa hali ya chini na wale wasiokuwa na Ajira kuna mpango maalum serikali hufanya juu yao kama vile malipo kidogo ya kujikimu kila mwezi kutoka katika serikali zao za mitaa.
Lakini Katika nchi nyingi za kiafrika na hata hapa kwetu ijapo tuna rasilimali za kutosha lakini Muundo mzima wa serikali yetu unatafunya tuishi kama tulivyo sasa,maana hata Demokrasia hakuna, na hivyo hakuna uhuru wa kujieleza na kutoa maoni.
Ni kama tupo ndani ya boksi