John Raphael shayo
Member
- May 25, 2024
- 7
- 8
Unadhani kutokana na kuwepo kwa changamoto ya masoko kwa bidhaa pamoja na mazao kwa wakulima Tanzania nini linaweza kuwa suluhisho ukiachana kuilaaumu serikali je unaona vijana wana nafasi gani hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza tu ili uwe na uwakka tafuta masoko ww mwenyw weng wa vjna wa Tz ujanja ujanja mwng kwaiyo mzgo anayao peleka auendan na uhtaj wakmataifa sabab anafanya biashar mazoea ila changamoto n masoko ya kudum na mitaj ndyo kirus kkubwaUnadhani kutokana na kuwepo kwa changamoto ya masoko kwa bidhaa pamoja na mazao kwa wakulima Tanzania nn linaweza kuwa suluhisho ukiachana kuilaaumu serikali je unaona vijana wana nafasi gani hapa
Serkali za Kiafrka azna hyo mda mkuu kaz yao kukimbilia mikod kbao lak njoo muulize kama 3x+4=y je y ningap ndy utajua hayo yaniisu kwa mfano nikuulze tu enz ya jiwe serkali kununua korosho ilishia wap ukilijua hy bx ustegemee wakutafutie sokoMkuu hilo tatizo la soko la mazao ya wakulima ni kubwa kuliko tunavyodhani. Pamoja na jitihada za mkulima kutafuta soko mwenyewe ila lazima serikali itusaidie...tunasikia kuna njaa Zambia, Zimbambwe nk hilo soko Serikali ingetusaidia..