DIDAS TUMAINI
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 242
- 676
Wakuu habarini za muda,nimekuwa mfuatikiaji sana wa mada za hapa jamii intelligence..
Sijawahi kuona uzi unaoelezea maana au fumbo lililopo katika zile tarakimu 666 kama zinavyoelezewa kwenye kitabu cha ufunuo 13:17-18 zingatia zaidi ule mstari wa 18.
Wakuu naombeni ufafanuzi nini tafsiri au maana ya hii tarakimu 666..
Naziona sana kwenye movie,mitandao ya kijamii na kwenye lebal zingine ila nashindwa kuelewa maana yake ni nini!
Sijawahi kuona uzi unaoelezea maana au fumbo lililopo katika zile tarakimu 666 kama zinavyoelezewa kwenye kitabu cha ufunuo 13:17-18 zingatia zaidi ule mstari wa 18.
Wakuu naombeni ufafanuzi nini tafsiri au maana ya hii tarakimu 666..
Naziona sana kwenye movie,mitandao ya kijamii na kwenye lebal zingine ila nashindwa kuelewa maana yake ni nini!