Sometimes, we look so deep into things that don't really matter.
It was just a dream mkuu, acha kujipa stress. Ukianza hivi mdogo mdogo utaanza kutafsiriwa kila kitu na zingine ni paranoia tu. So guess what kitatokea, utaanza imani potofu na kupotea njia hivi hivi tunakuona.
Soma dua lala.