Mtu yeyote anaelala usiku bila kupiga mswaki lazima anuke mdomo.
Mtu unaswaki asubuhi, Siku nzima unakula kila utakacho, afu unalala hivyo hivyo, unategemea nini?
Procedure ni kupiga mswaki asubuhi na usiku umalizapo kula swaki ndo ulale.
Akifanya hivyo ikashindikana mshauri anunue mouth wash.
Ikishindikana jua ana jino bovu limetoboka, halifanyii usafi uchafu umejaa humo.
Ila mtihani unao ni ngumu sana sanaaa kumwambia mtu hicho kitu.
Kuna mwanaume alikuwa ananipenda sana tu,alikuwa na kila kitu mwanamke anachotamani, ila nilishindwa proposal yake, kila akiniuliza kwa nini simpendi namdanganya namchukulia kama kaka.
Kumwambia ilishindikana, ati nae sasa hivi kaoa, hivi wanalala vip kama kuongea tu naskia mmmmh , dah mapenzi upofu.
Halafu wa hivyo wana meno mazuri asikwambie mtu. Na kama ni mdada unakuta ni nzuri balaa.